Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
yeah.... ushashiba vile vi fifty per day au??View attachment 38613
hahahahaha! Umenichekesha sana. Lol.
yeah.... ushashiba vile vi fifty per day au??View attachment 38613
ccm waongo walituahidi mahakama ya kadhi . sasa hivi wanatugeukaumekubali kununuliwa kwa pipi
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.
Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.
Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.
Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!
Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?
Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.
People's Power!
Je,wewe hivyo vivocha hajarushia nini ndio maana unataka kuvuja NDOA yako?
Usiwe kama mwanamke ambaye yeye endapo atasikia habari mpya ana-take action bila ya kufanyia uchunguzi ili apate uhakika wa suala husika.
Actually nilikuwa nashiriki kurusha hizo vocha. Nadhani baada ya hapa hela yangu itatumika vizuri kuichangia JF.
SI..nipo kwenye njia sahihi bado. Siwezi kuwa kigeugeu kama huyu jamaa. Namshangaa sana, Sijahi kuona mwanaume asiye na msimamo..nina wasiwasi jamaa atakuwa wa ile jinsia nyingine!hahaaa mnageukiana? rejao na wewemtu wangu utafunguka macho lini?
Dedication kwa Mwita25;
Sikiliza KIGEUGEU by Jaguar
Na wewe sikiliza MATHEMATICS ya Roma.
Hiyo kitu ya Roma imekosekana..lakini anaweza kujiburudisha na original song kutoka kwa Mos Def..
Mos Def - Mathematics - YouTube
Aisee!SI..nipo kwenye njia sahihi bado. Siwezi kuwa kigeugeu kama huyu jamaa. Namshangaa sana, Sijahi kuona mwanaume asiye na msimamo..nina wasiwasi jamaa atakuwa wa ile jinsia nyingine!
Tayari ameshapata ujumbe!Hili songi limeshawekwa sana humu..lakini ngoja aburudike tena..
Jaguar - Kigeugeu on UGPulse.com Kenyan Music - YouTube
Babu..Aisee!
Je,wewe hivyo vivocha hajarushia nini ndio maana unataka kuvuja NDOA yako?
Usiwe kama mwanamke ambaye yeye endapo atasikia habari mpya ana-take action bila ya kufanyia uchunguzi ili apate uhakika wa suala husika.
SI..nipo kwenye njia sahihi bado. Siwezi kuwa kigeugeu kama huyu jamaa. Namshangaa sana, Sijahi kuona mwanaume asiye na msimamo..nina wasiwasi jamaa atakuwa wa ile jinsia nyingine!
Hahahahahaha! dah sijui kwanini leo nimeisahau ile mawani yangu.....dah!Babu..
Ona hii comment hapa chini
Umeniquote vibaya Mwita25!It's not the subject's gender that counts but their perspicaciousness. I don't give a darn which sex you'ld think of me but what's important now is how will I be part of this country's change. Halafu statement yako inaonesha kuwa wewe ni SEXIST. Yaani umedharau hata mchango wa Hawa Ghasia kwa maendeleo ya hili Taifa?
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.
Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.
Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.
Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!
Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?
Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.
People's Power!
Khaa!Umeniquote vibaya Mwita25!
Sikumaanisha jinsia nyingine ni wanawake! Unaweza ukawa na viungo vyote vya kiume lakini usiwe mwanaume! Hope u have now understood what I meant in ma previous post!
Hahaha...Khaa!
Ngoja nisepe, sipendi kushuhudia umwagikaji wa damu!