Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.
Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.
Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.
Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!
Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?
Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.
People's Power!
huyu mwita msanii tu si unajua ukitaka kumjua adui vizuri lazima ujifanye uko upande wake?tumemshtukia huyu ana lolote
Wewe hata namba ya simu ya Mukama sijui kama unayo. Huna mikakati na umekalia kushindana na ukweli. Kwa taarifa yako nchango wangu kwa CCM ulikuwa mkubwa kuliko hata wa bwanako Nape.
Mkinikataa nitarajaribu hata kile chama cha wakulima. Lakini CCM mimi baaaaaasi
Kuna tofauti kubwa kati ya:
Mwita25 na mwita25
Mwita 25 na Mwita25
mwita25 na mwita 25
Mmeziona?
Kuna tofauti kubwa kati ya:
Mwita25 na mwita25
Mwita 25 na Mwita25
mwita25 na mwita 25
Mmeziona?
Mkuu unajua hapa uko jukwaa gani? Stuka!da! Mimi nimeanza kuamini huyu ni mwita25 baada ya kuona hiki kiinglishi,karibu sana CHADEMA.ukweli utasimama daima.NAPE NI ZUZU..YEYE NA MABOSI WAKE,BORA UMEWAKIMBIA.karibu.
Inawezekana akawa yeye kweli, lakini thread ya"Kuhama CCM" kuwekwa katika jukwaa la Chit Chat unaona ni kitu cha kawaida?............Na uzoefu wake halijui jukwaa la siasa? Stuka!!!!Join Date : 15th April 2011
Posts : 1,503
Thanks2Thanked 14 Times in 10 Posts
Rep Power : 24
inaonesha ni mzoefu humu jamvini, inawezekana akawa yeye
Inawezekana akawa yeye kweli, lakini thread ya"Kuhama CCM" kuwekwa katika jukwaa la Chit Chat unaona ni kitu cha kawaida?............Na uzoefu wake halijui jukwaa la siasa? Stuka!!!!
Inawezekana akawa yeye kweli, lakini thread ya"Kuhama CCM" kuwekwa katika jukwaa la Chit Chat unaona ni kitu cha kawaida?............Na uzoefu wake halijui jukwaa la siasa? Stuka!!!!
Mkuu unajua hapa uko jukwaa gani? Stuka!
Hebu nitukanie Mod mmoja ndo niamini kweli huyu ndo Mwita25 nimjuaye (Angalizo: tumia kimombo manake kiswahili lazima ule ban)Hii thread mods wameihamishia huku kutoka Hoja mchanganyiko. Isitoshe sidhani kama inafaa kukaa Jukwaa la Siasa kwasababu mimi sikuwa kiongozi mkubwa wa chama.
Hahahaha si unajua tena unaweza kukuta...Mlinzi wangu amekula deal na mwizi kuniibiaMkuu umeshtuka eeehhhh............Hii ni sawa na "hodi ya Chooni"...... :hand::hand::hand:........haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
Hebu nitukanie Mod mmoja ndo niamini kweli huyu ndo Mwita25 nimjuaye (Angalizo: tumia kimombo manake kiswahili lazima ule ban)
Na ni kigezo gani Mods wanakitumia kuhamisha sredi kutoka kwenye jukwaa alilotundika mwanachama?
Kwako Invisible!
Usiku wa kuamkia leo niliamshwa na haja ndogo, na kama kawaida nilikimbilia chooni. Wakati narudi kitandani niligugundua kuwa sina magamba yangu. Looh! Nilistaajabu sana, lakini wakati naendendelea kutafakari niliona gamba moja lipo karibu na ukutani.
Kutahamaki kumbe yote yalikuwa yamechomoka. Nilipojaribu kuyaruridishia, yakawa madogo kuliko mwili wangu, yaani yamenikataa. Huu ukawa mwanzo wa kukatalaliwa na CCM. Sikustaajabu kwa sababu CCM amewakataa watu wengi sana.
Infact, anajikataa hata yeye mwenyewe. Sina maneno mazuri ya kujieleza zaidi ya kusema kuwa ndoa yangu na CCM imeisha leo. Hizi taarifa haziwezi kuingia kwenye kichwa cha Nape, kada nambari moja asiyejua kazi yake zaidi ya kulazimisha watu tuipiganie CCM kwa nguvu zote tena sehemu yoyote.
Taarifa ni chungu zaidi kwa Mwenyekiti wa UVCCM, Dodoma ambaye kucha kutwa anatuma vivocha kwa wanafunzi wa UDOM ili, eti waipiganie CCM! Kwa lipi hasa? Chama ambacho hata Mwenyekiti wake mstaafu anapangiwa maneno ya kuongea jukwaani! Chama ambacho kiko tayari kuua ili kipate kura moja?!
Hiki ndiyo chama kilichoshika hatamu Tanzania! Sina maneno mengi ila kusema kuwa umbumbumbu wangu umefika kikomo. Gamba limeng'ang'ania kwenye godoro na sasa najisikia mwepesi saaaaaana kiasi cha kujuta kwa nini nimeteseka muda wote huo kula chakula cha simba ambaye mwisho wa siku anataka anitafune?
Nimeteseka sana, nimenyanyasika sana na nimehuzunika sana na sasa NAACHIA NGAZI.
People's Power!
Mkuu unajua hapa uko jukwaa gani? Stuka!