The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,594
- 3,590
Hakika Mfundishe akiiva inakuwa rahisi sana hata akifika chuo ni kwenda kuchukua cheti na visheria vidog vdogoNisiwe muongo hakuwahi kuendesha gari japo nipo na manual car naweza kuanza kumpiga msasa taratibu.
NIT wanachukua madereva pale