Kwa hali hii cheti hakiwezi kukosewa kweli?

Katitima

JF-Expert Member
Jun 28, 2013
627
117
Wakuu naomba msaada kwa hili,

mdogo wangu ni mmoja kati ya waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2013,
sasa nimeangalia matokeo yake yameonyesha kama ifuatavyo,
CIVICS C
HISTORY C
GEOGRAPHY C
BIBLE KNOWLEDGE C
KISWAHILI B
ENGLISH B+
PHYSICS D
CHEMISTRY C
BIOLOGY B
B/MATHEMATICS C

ukipiga hesabu hapo unapata ALAMA 18 DARAJA LA PILI lakini wao wameandika ALAMA 24 DARAJA LA PILI.

swali langu linakuja hapa sasa,je kwenye cheti matokeo yatasomekaje? na kama yatasomeka kwa mujibu wao, utaratibu upi ufuatwe ili isiwe hivyo?

NAWASILISHA WAKUU.
 
Wewe umepataje hiyo point 18? mbona na mimi nikihesabu napata 24. maana kumbuka sasa hivi kuna B+ hivyo C ni point 4 siyo 3 kama ile ya zamani.
 
wewe umepataje hiyo point 18? Mbona na mimi nikihesabu napata 24. Maana kumbuka sasa hivi kuna b+ hivyo c ni point 4 siyo 3 kama ile ya zamani.

sawa mkuu nimekuelewa sikuwa najua kuwa ipo hivyo,na je hizo alama 24 ni daraja gani sasa?
 
Daah
mabadiliko huwa yanakuja na changamoto zake kwa baadhi ya watu.
Imefanya vizuri kuuliza.
 
Hiyo B na B+ wanahesabu vipi maana nishakuwa mshamba wa elimu ya bongo.
 
kila kitu Bongo imekuwa kviziana hata utaratibu wa kuhesabu point hauelewki.....B ni ngapi na B+ nayo ni ngapi?
 
kila kitu bongo imekuwa kviziana hata utaratibu wa kuhesabu point hauelewki.....b ni ngapi na b+ nayo ni ngapi?

mkuu,mimi mwenyewe nilichoka nilipokuta hivyo na kwa kutoelewa kwangu ndio nikaleta shauri hapa.
 
Back
Top Bottom