Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Mkuu Masaningala .... hili siyo jambo la katiba???Kwa taarifa kama CDM itachukua nchi, vyeo havitakuwa vya kupeana kama ilivyo sasa na serikali ya magamba. Mawaziri hawatakuwa wanasiasa bali wataalamu wa maeneo husika. Nafasi zote za juu kuanzia uwaziri zitatangazwa na watu watatakiwa ku apply na watafanyiwa interview ili kupata mtu stahiki kwa nafasi sahihi.