Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 533
- 272
mm nmemalza 4m 4 mwka 2012, nna B ya biology, B ya chemistry na C ya physics, Je chuo kipi cha afya naweza kupata nafac?, pia kwa muda huu naweza kuapply chuo na kupata?, naomba msaada wenu wanaJF.
nenda shule kapige kitabu,unless njoo usomee dential therapist o nursing!njoo inbox