mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kwa wanaojua jinsi waziri mkuu Mizengo Pinda anavyotumika kama nepi au tuseme zimamoto na rais Jakaya Kikwete, wanamuonea huruma. Je ni kwanini yeye hajionei huruma akaachia ngazi? Au anahitaji ushauri nasaha. Je wewe ungemshauri nini Pinda ili angalau ajiwekee legacy yenye kueleweka?