Kuzirai kwa baadhi ya wananchi wa Igunga kutokana na kujiuzulu kwa Rostam!!

Wadau wa JF, mimi binafsi nimepigwa na bumbuwazi baada ya kusikia watu wamezirai eti kisa ni kujiuzulu kwa Mh.Rostam Aziz,hebu naombeni mnisaidie hii maana yake nini???Najua Igunga kuna wana JF itakuwa vyema mkitupa ukweli wa mambo kuhusu taarifa hizi za kuzirai kama zina ukweli wowote au la!!

HAKUNA LAAM KAMA KUWA MFUGO......ANYEKUFUGA SIKU AKIKURUDISHA PORINI; KIFO YAKO IKO KARIBU KAMA HUNA UWEZO WA KURUDI KATIKA MAISHA YA UKWELI YATAKAVO..(wenyewe wanaota kuvua gamba!!!) KAMA HUNA MPANGO HUO KICHWANI KWAKO (haihusu wanasiasa tuu; ipo kote) AKIKASIRIKA MTOA THAWABU LAZIMA UZIMIE............
 
ukweli unabaki palepale kuwa kuna baath ya maeneo na baath ya mikoa ipo nyuma cna kimaendeleo na fikra na elimu chni,watu wapo kwenye deserted area,pamekauka wana njaa ila bdo hawatoi changamoto,wana macho ila hawaoni,nawapa changamoto vijana mlotoka huku igunga,dom,tanga, na pote penye fikra ndogo tokana na elimu duni rudini mkawakomboe wenzenu 2pate taifa jipya la mtanzania c hli la mkolon na mwenyeji
 
ukweli unabaki palepale kuwa kuna baath ya maeneo na baath ya mikoa ipo nyuma cna kimaendeleo na fikra na elimu chni,watu wapo kwenye deserted area,pamekauka wana njaa ila bdo hawatoi changamoto,wana macho ila hawaoni,nawapa changamoto vijana mlotoka huku igunga,dom,tanga, na pote penye fikra ndogo tokana na elimu duni rudini mkawakomboe wenzenu 2pate taifa jipya la mtanzania c hli la mkolon na mwenyeji

Tabora, Tanga, Mtwara, Songea,
 
kujivua gamba pekeyake haitoshi!!ilibidi rostam akamatwe na afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine,coz wakimuacha ivivi itakuwa kama mchezo watu watakua wanaiba mali ya umma then wanajivua gamba,jamani huyu rostam kahujumu uchumi wetu anapaswa kuadhibiwa
Afilisiwe kwa kosa lipi? Muulize Nyerere yaliyomkuta alipomtaifisha Tiny Rowlands, alijuta kuzaliwa. Ilibidi arudishe mali za Tiny na toka siku hiyo hakutaifisha tena. Msisikie tu, kufilisi, unafanya mchezo? Kuna watu huwa hawachezewi.
 
Tabora, Tanga, Mtwara, Songea,
Kwa kuongezea tu, na pwani. Na Dar ilikuwa iwe kati ya hiyo uliyoitaja lakini location yake tu ndio iliistiri lakini njama zilishafanywa kuihamisha "capital" kwenda Dodoma. Sababu za hiyo mikoa kuwa nyuma zinajulikana sana na mwenye macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi sikia.
 
Hao wananchi ni
waongo,
wapumbavu,
wanafki,
wajinga,
wazandiki,
na zaidi ni wazushi wakubwa tu.
Wakati watu tunapigania maendeleo wao wanapigania umaskini, watakufa na umaskini wao.

Ningekuwepo kwenye huo ukumbi ningepiga risasi wote, potelea mbali nami nkanyongwe but angalau nimepunguza idadi ya wanafki duniani, shen%+€zi zao
 
"Lonrho has focused its campaign on the World Bank, which in recent years has become Tanzania's largest public source of aid, extending over $100 million in new loans annually. In a November cable to World Bank President Robert S. McNamara, Lonrho deputy chairman George Bolton -asserted that "Tanzania has no intention of compensating us in full, fair and prompt fashion" and asked for McNamara's "full cooperation in denying Tanzania any aid." Additionally, Lonrho officials have attempted to convince the British Government, one of Tanzania's major sources of bilateral aid, to end its financial support of the country. In particular, Lonrho called on its home government to cancel loans recently extended for a major new Tanzanian road project. Lonrho's broadsides have yielded the giant conglomerate no concrete results to date. Tanzanian President Julius Nyerere has not responded to the attack, stating that his country still stands ready to negotiate a compensation settlement. Neither the World Bank nor the British Govern ment have expressed sympathy for Lonrho's view of the dispute".-Excerpt from Multinational monitor,february 1980.

Nyerere hakumuogopa beberu yoyote kama unavyofikiria....take that sh@t to facebook!!
 
Wadau wa JF, mimi binafsi nimepigwa na bumbuwazi baada ya kusikia watu wamezirai eti kisa ni kujiuzulu kwa Mh.Rostam Aziz,hebu naombeni mnisaidie hii maana yake nini???Najua Igunga kuna wana JF itakuwa vyema mkitupa ukweli wa mambo kuhusu taarifa hizi za kuzirai kama zina ukweli wowote au la!!
attachment.php

Picha kwa hisani ya HabariLeo
View attachment 33950
 
Wadau wa JF, mimi binafsi nimepigwa na bumbuwazi baada ya kusikia watu wamezirai eti kisa ni kujiuzulu kwa Mh.Rostam Aziz,hebu naombeni mnisaidie hii maana yake nini???Najua Igunga kuna wana JF itakuwa vyema mkitupa ukweli wa mambo kuhusu taarifa hizi za kuzirai kama zina ukweli wowote au la!!

Wabongo bwana! Huyu RA kakwiba mpaka anatapika, wanyamwezi wakipewa vihela vya kununua mandazi, msiba, harusi, kanga, vibarakashia na kanzu basi wamemuona mtu mno!
Kutokana na kukosa elimu ndio maana tunaongoza kwenye mambo ya ushirikina, udini kupita kiasi na kuwa too emotional mpaka tunatia kinyaa!
Ila wangejua tu huya bwana kafanya nini sidhani hata wangetoa machozi zaidi ya kuandamana ili afunguliwe mashtaka ya kuhujumu uchumi.
Bongo kazi tunayo!
 
Hii ndio imenihakikishia kwamba Watanzania walio wengi ni wapumbavu.
Wadau wa JF, mimi binafsi nimepigwa na bumbuwazi baada ya kusikia watu wamezirai eti kisa ni kujiuzulu kwa Mh.Rostam Aziz,hebu naombeni mnisaidie hii maana yake nini???Najua Igunga kuna wana JF itakuwa vyema mkitupa ukweli wa mambo kuhusu taarifa hizi za kuzirai kama zina ukweli wowote au la!!
 
Alikuwa analiibia taifa kwa ajili ya jimbgo lake ndo maana watu wake wanamlilia
 
siasa! siasa! siasa.... tunatumia sana uwezo wetu mkubwa kuwa serious na siasa ilihalihali ni fitna tu inahitajika!..Mwanasiasa mzuri ni yule anayeiweza fitna...thus all!
 
Kama presidaa anamtetemekea , unategemea nn Kwa wapiga kura???? Tena wanaokubali kubadilisha kura zao Kwa handkerchief za kijani. Nyie umaskini furushi la mwizi , acheni tu. Umaskini umewatia upofu na kuwapotezea matumaini. Na ndo hapo Watawala wetu wanapopatumiaga kujizolea kura na kurudi madarakani
 
Mheshimiwa hakufanya lolote pale Igunga!.. Zaidi alichofanya nikuwadumaza na kuwafanya wazawa wa pale waendelee kumtukuza... "Mtu anaondoka mnalia!.. Mnalilia nini?.."
 
tabu wengi wetu hatupendi kuona mbali tupo kwa ajili ya leo na hatupendi kufanya kazi.
watu wazima toka asubuhi wanakalia upambe bila kuangalia madhara yake kwa taifa!
binafsi niliposikia nilitamani kunywa soda bariiiiiiidi sana lakini ghafla nikakumbuka haziwezi kupatikana hakukuwa na umeme mchana kutwa
tubadilike tusipende bure na tujue madhara ya upambe.
kiukweli walistahili kufa kwa muda wote kufurahia machungu ya watanzania.
watani zangu acheni ushamba igunga mjini sasa na kuna maji safi barabara zote zinapitika mpaka kijijini shule bora na maskini wachache wasiotumia majokofu
 
Katika Igunga kafanya makubwa mno kuliko mnavyodhani. Ndio maana watu wakazimia. Ni wilaya pekee ambayo kila kaya ina Bima ya Afya. Shule za Sekondari zimezidi hadi kata zenyewe. Zahanati nyingi kuliko vijiji. Anasomesha watoto kadhaa wa kimasikini Igunga, utaacha kuzimia?

Mpweke

Sawa kafanya yote hayo kwa fedha ya wizi wa hela ya hao hao waliomlilia na kuzirai. Yeye alikuwa anakwapua na kwenda kuwahonga wana-Igunga. Mwisho wa mafisadi unanukia.

CCM wajue hili jimbo halirudi tena kwao. CHADEMA lazima wachukue jimbo hili by hooks and crooks.
 
Back
Top Bottom