wanaichi kuzimia hayo ni matatizo yanayotokana na kushindwa kwa serikali ya CCM kuwapatia afya bora wananchi wake na wala co kujiuzulu kwa Rostam ujua watub sasa wanamatatizo mengi sana hivyo kuzimia co geni anyebisha hili aende kwenye mikutano ya hadhara utaonaa hilo. je tujiulize kama mtu kujiuzulu tuu anazirai je / angesikia kafa angeanya ninni?