Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

awesome point... hawa wanataka kutukosesha ma-utamu sie lolz!! We only leave once.. acha tujipe raha bana aaa!
neggirl uko juu, kumbe tuko pamoja. Mnapotupa moyo wanaume kwa kweli huwa tunajisikia vizuri sana hata bendera zetu zinapepea vizuri full mlingoti.
 
kwa ukweli na uhakika wa jambo hili madakitari waongo kupindukia, kansa ya mdomo huletwa kutokana na sababu hizi, kutafuna tumbuku, kuvuta sigara, kuimba(mwimbaji), ulevi wa pombe kali, hakuna sehemu yoyote palipoandikwa kuwa kansa ya mdomo inatokana na "ULAMBO" kama kwenli kansa ya mdomo ingekuwa inatokana na ULAMBO basi hii ingekuwa ni kansa namba moja kati ya kansa zote duniani kwa vile asilimia 87.65% ya watu duniani wanatumia staili hii ya maapenzi. ULAMBO ni mapenzi ya kwa njia ya mdomo ni mapenzi yaliyo salama zaidi, hakuna mimba zisizotarajiwa, mwanaume utapendwa zaidi na bibi yako kwa sababu ya kukidhi haja maalumu ya mpenzi wako,RAHA anayopata mpenzi wako ni mara kumi na tano ya njia ya kawaida, ndiyo maana kama mwanamke ameshalambwa hawezi kuacha kulambwa, na hawezi kujisikia raha kwa njia hii ya kawaida, ebu nikupe wewe mwenyewe ufanye utafiti leo jaribu alafu muulize mpenzi wako eti kuna tofauti gani na kutumia njia ya kawaida. Na si kweli kwamba watu wanaotumia ULAMBO hawana nguvu za kiume, ni aina ya mapenzi mbadala, kwa kawaida ukishamaliza ULAMBO raundi ya pili ni kuona mwanaume naye anamaliza zamu yake kwa sababu wakati wote huu jogoo huwa yuko tayari kwa shughuli. Bado nakukumbusha ULAMBO ni kama vile uko kwenye mpango wa lishe bora kwa vile ni chakula bora, hakuna chumvi(kwa wagonjwa wanaokatatwa matumizi ya chumvi), hakuna mafuta usema utapata cholestro, hakuna masharti kwa wagonjwa wa kisukari kwa kuogopa diet, ni nadra sana kupata wasiwasi ya mtoto wa kusingiziwa.
Mkuu Revocatus Kashaga huuu ni ujio wa kishindo wenye hoja nzito mithili ya kimondo. Naomba nikupe like Billion moja mpaka akaunti yako ijae, nashukuru kwa kuhitimisha hoja hii kwa kutupatia neno jipya "new vocabulary" katika kamusi yetu humu jamvini, mkuu Bujibuji alitupatia Papuchi na leo tumepata ULAMBO.

Mkuu kama ingekuwa kansa inatokana na ULAMBO mimi leo hii ningekuwa historia, nina miaka ya kutosha mtoto wa Sekondari navumbua madini mpaka leo sina hata kipele mdomoni. Naomba kuwasilisha.
 
Mkuu Revocatus Kashaga huuu ni ujio wa kishindo wenye hoja nzito mithili ya kimondo. Naomba nikupe like Billion moja mpaka akaunti yako ijae, nashukuru kwa kuhitimisha hoja hii kwa kutupatia neno jipya "new vocabulary" katika kamusi yetu humu jamvini, mkuu Bujibuji alitupatia Papuchi na leo tumepata ULAMBO.

Mkuu kama ingekuwa kansa inatokana na ULAMBO mimi leo hii ningekuwa historia, nina miaka ya kutosha mtoto wa Sekondari navumbua madini mpaka leo sina hata kipele mdomoni. Naomba kuwasilisha.
Asante sana ndugu grafani na zaidi ya yote, kuna aina tofauti ya vivutishi vya ULAMBO unaweza kutumia spray za vanilla flavor, chocolate flavor, fanta flavor, coke flavor, orange flavor hata radha ya matunda ya nanasi pia huwa poa sana. wewe bana usiche na ULAMBO kitu poa kwa mapenzi ya kileo
 
aaaaaa!damn....kwakwel wanataka kutukatili me bla hyo bdo cpati raha ya mapenzi!kwan tukipima magonjwa yte ya zinaa c tunakuwa safe au?me niko tayari kupima kila kitu ili tu babyboy wangu asiache ulambo...
 
MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO, NI CHANZO KIKUU CHA SARATANI YA MDOMO NA KOO

Saratani imeendelea kuwa tishio hapa nchini huku hofu ikiendelea kuikumba jamii kutokana na wataalamu wa afya kushindwa kufahamu tiba halisi ya maradhi hayo hatari. Takwimu kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean Road zinaonyesha ongezeko la saratani ya mdomo na koo kwa kiasi kikubwa kutoka kesi 167 mwaka 2006 hadi 277 mwaka 2012.
Mkurugenzi wa Idara ya Kinga
Ocean road, Julius Mwaiselage anaeleza kuwa watanzania wasipende kuiga mambo ambayo si sahihi bila kujua madhara yake kama kufanya mapenzi kwa njia ya mdomo. "Saratani ya mdomo ipo, na nyingine zinasababishwa na zinaa " anasema Dk Mwaiselage.


Tafiti za saratani

Tafiti mbalimbali zimewahi kufanyika nchini na kubaini kuwepo kwa ongezeko la saratani ya mdomo.Utafiti uliofanywa na Dk Innocent Mosha wa Kitengo cha Patholojia cha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), umebaini aina za saratani 1,594, kati ya hizo 509 zikiwa ni za midomo kwa mwaka 2003 pekee. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa kati ya saratani 509 za mdomo, saratani 242 zilisababishwa na Virusi vya Human Papiloma ambavyo hutokana na zinaa. "Ninachojua mimi ni kuwa Virusi vya HPV husababishwa na magonjwa ya zinaa, hivyo mtu anayeugua saratani ya aina hiyo, imetokana na zinaa," anasema Dk Mosha.

Wanaume waathirika zaidi wa Saratani

Takwimu hizo ni zile zilizopatikana kwa watu waliokwenda kufanyiwa uchunguzi katika Mkoa wa Dar es Salaam pekee. Dk Mosha anasema kuwa wanaume ndiyo huathiriwa zaidi na saratani ya mdomo ambapo kwa hapa nchini, asilimia 53 ya wanaume waliofika MNH kwa ajili ya vipimo, walibainika kuugua saratani hiyo, huku wanawake wakiwa ni asilimia 47. Utafiti kama huo ulifanywa pia na Dk Amos Mwakigonja, mkuu wa Idara ya Patholojia katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Muhimbili (MUHAS).

Dk Mwakigonja alifanya utafiti wa saratani ya mdomo aina ya Kaposi's Sarcoma ambapo wagonjwa 78 walibainika na saratani hiyo kuanzia mwaka 1990 hadi 2003. "Saratani za mdomo zipo za aina nyingi na zimetofautiana kulingana na visababishi vyake," anasema Dk Mwakigonja. Katika utafiti wake Dk Mwakigonja alibaini kuwa wanawake wengi walikuwa na saratani ya mdomo aina ya Kaposi's Sarcoma kuliko wanaume.

Hata hivyo, utafiti huo ulionyesha kuwa asilimia 50 ya wanaume walikuwa na saratani ya mdomo hatari zaidi (systemic) kuliko wanawake ambao ni asilimia 37.

Mapenzi kwa mdomo husababisha maradhi

Dk Mwakigonja anasema kuwa mapenzi yoyote kwa njia ya mdomo lazima yasababishe maradhi ya zinaa iwapo mmoja ameambukizwa. Pia anasema kwamba sampuli nyingi za wanaume wanaojihusisha na mapenzi na wanaume wenzao (mashoga) zilibainika na saratani ya mdomo. Utafiti huo ni sehemu ya utafiti wa Shahada ya Uzamivu ambao ulionyesha kuwa wagonjwa wengi wa saratani ya mdomo walikuwa ni wanaume wenye umri wa miaka kati ya 38 na kuendelea na wanawake ni 31.

Ufatiti wa WHO Tanzania
Shirika la Afya Duniani (WHO) pia lilifanya utafiti mwaka 2010 nchini kwa kushirikiana na Kituo cha Taarifa za HPV, ambapo ilibainika kuwa asilimia 20 ya saratani za koo na mdomo nchini zinasababishwa na ufanyaji wa mapenzi kwa njia ya mdomo.
Taarifa hizo za WHO zinaeleza kuwa wanaume 747 hugundulika na saratani ya mdomo kila mwaka wakati wanawake 472 hubainika na saratani hiyo pia. Wakati huohuo, wanaume wanaopoteza maisha kutokana na saratani hiyo ni 444, kwa mwaka na wanawake ni 270, kwa mwaka. Utafiti wa WHO umebaini kuwa saratani ya mdomo inashika nafasi ya sita katika aina 24 za saratani 24 zinazoisumbua zaidi Tanzania.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa wanaume wanaoathirika zaidi ni wenye umri wa kati ya miaka 15 na 55, ambao tayari wameshaanza kujihusisha na ngono. Kama maradhi mengine ya kuambukiza, Virusi vya HPV huambukizwa kwa urahisi zaidi kutoka kwa wanawake kwenda kwa wanaume kuliko kutoka kwa wanaume kwenda kwa wanawake. Utafiti huo uliodhaminiwa na mfuko wa Bill na Melinda Gates na Kituo cha Saratani na Mpango wa Utafiti wa Taasisi ya ICO unaeleza kuwa mitandao ya kijamii na picha za ngono ndiyo chanzo cha watu wengi kuiga ufanyaji wa mapenzi ya aina hiyo.

Kwa mujibu wa gazeti la The New York Times, tafiti zimefanyika na kubaini kuwa asilimia 70 ya wagonjwa wanaobainika na saratani ya koo na mdomo duniani, husababishwa na Virusi vya Human Pappiloma vinavyotokana na magonjwa ya zinaa.Tafiti hizo zinaonyesha kuwa wagonjwa wengi wanaogundulika na saratani hiyo ni wanaume wenye umri wa kati, wenye uwezo wa kifedha, wasiovuta sigara wala siyo walevi waliokubuhu.

Utafiti huo ulibaini kuwa wanaume wapo hatarini zaidi kupata saratani ya koo inayosababishwa na Virusi vya HPV. Miaka ya 80, idadi ndogo ya watu waliougua saratani ya koo walihusishwa na maambukizi ya Virusi vya HPV. Kihistoria, watu waliobainika na ugonjwa huo, ni wenye umri wa miaka 70 kwenda juu ambao walikuwa ni wale walevi waliokubuhu na wavuta sigara.

Ilielezwa kuwa Virusi vya HPV vipo kwa wingi kiasi ambacho watu wazima wanaojihusisha na ngono ya aina yeyote ile, huweza kupata maambukizi ya zinaa hata kama siyo saratani. Hata hivyo ilibainishwa kuwa saratani isababishwayo na virusi vya HPV ni rahisi kuitibu kuliko saratani ya koo isababishwayo na tumbaku au pombe kali.
Virusi vya HPV ni nini?

Kwa jina la jumla, saratani ya koo au mdomo huitwa saratani ya kichwa na shingo. (Neck and Head Cancer) HPV ni miongoni mwa virusi hatari zaidi duniani visababishwavyo na magonjwa ya zinaa na vinaweza kuathiri sehemu mbalimbali za mwili. Zipo aina zaidi ya 120 za HPV, baadhi huweza kuzalisha usugu (warts) ambazo si saratani katika sehemu za siri, mikononi na miguuni. Maambukizi ya HPV hufanyika kwa urahisi, hata kwa kugusana ngozi au majimaji, huku maambukizi mengine yakisababishwa na ngono.

Virusi hatari na vinavyosababisha saratani ni HPV-16, HPV-18, HPV-31 na HPV 45. Aina hii ya Virusi vya HPV husababisha saratani ambapo uvimbe waweza kujitokeza kwa ndani na unaweza usionekane ukilinganisha na vivimbe vingine vya saratani. Wataalamu wanasema HPV-16 na HPV-18 inahusishwa zaidi na saratani ya shingo ya kizazi na endapo mapenzi kwa njia ya mdomo yatafanywa na mtu mwenye uambukizo huu ni rahisi kuambukizwa.

Source:Nimeinyofoa sehemu
 
na idadi inazidi kuongezeka... ila vizuri acha wapate ufahamu wa juu ya mambo yanavyokwenda, kuna walio shawishika hapa, kuna watao acha na wapo watao ongeza kasi
There are currently 3768 users browsing this thread. (35 members and 3733 guests)

thread ipo page ya 90 sasa ...loh loh!
 
Mimi naona sio vizuri kuzama chumvini lakinh kwa mke kula koni nisawa. kuongezeka... ila vizuri acha wapate ufahamu wa juu ya mambo yanavyokwenda, kuna walio shawishika hapa, kuna watao acha na wapo watao ongeza kasi
There are currently 3768 users browsing this thread. (35 members and 3733 guests)[/QUOTE]
 
Unajuwa siri yao hao watu wanaopenda mambo ya kwenda chumvini? Yaani wakizeeka wanataka kuwahadithia wajukuu zao kama wamekula chumvi nyingi, tena za kila aina, kuanzia za uvinza, mpaka za bonde la ufa...!

Tena usishangae wake zao wasiweze pata ujauzito a.k.a mimba, unajuwa kwa nini, kwani unategemea nini unapokwenda uko chumvini si utakuwa unawala watoto wako mwenyewe kabla...!

Tena watu wa namna hiyo usishangae wakaota au kuwa na ndevu za kwenye meno, kwani unategemea nini kama shamba halija vunwa, nyasi na magugu hadi mlangoni, na wewe kwa kutaka kwako kwingi unapalilia na kulima kwa kutumia meno...! Ndo maana utakuta meno ya watu wengine yana rangi za ugoro, ulochanganyika na umanjano, kijani na weusi...!

Halafu wewe uogopi ukinuka mdomo je...! We zoea tu mambo hayo ya kuzamia, siku mkeo mjamzito na wewe umekazana tu kuramba ramba kama mbwa anakunywa maji, kama ukupigwa teke na jamaa aliye kuwa ndani ya tumbo, sijui utasemaje...! Au ukimnyofoa mguu kwa utamu wa chumvi...! Sijui utasema mtoto kapata polio au...?
Shauri yenu.


Teh! Umenichekesha sana mkuu mpaka nimepaliwa!!!!
 
Eti wana JF tusaidiane hapa, kwa navyoelewa na kujua mimi raha ya mwanamke ipo pale kati, hasa mzee anapozama na kuzunguka vizuri, lakini wanaume wengi kuzamisha ulimi kunako ni shidaa, wengi wao huishia ku---- tu. Tatizo nini?
 
Back
Top Bottom