mbona mlioko huko hamueleweki? ma karamangi kaka matw, mara hakuna kinachoendelea, sasa tuamini kipi? tupeni mambo ya uhakika. tuko hata kula hatujaenda.Sijahakikisha sana lakini habari zilizopo ni kuwa Meghji na Karamagi wamefika Kisutu.....
Kwa wale ambao wamedai wamepita Kisutu wanaweza ku-confirm hakuna shughuli inaendelea hapo. That's abnormal, ila chanzo chetu kinafuatilia kwa karibu juu ya hili. We'll update you.
TOPIC HELD TILL CONFIRMATION
Invisible,
Mimi naona kuna shida hapa hata leo nahisi umerubuniwa na watu fulani kwenye hii habari. Kuna watu ambao by this time wangekuwa wameleta all details of what transpired in Kisutu court. Lakini leo naona wote wamenyuti, hawaandiki post hata mmoja na sasa ni saa kumi kasoro za bongo hutajapata jibu la nani alipelekwa mahakamani leo, kuna walakini.
Hivyo tujiangalie tusijepata anguko, I can smell something like what HASARA did.
hebu tuhabarishe ni shitaka gani linalowa kabili?mbona mlioko huko hamueleweki? ma karamangi kaka matw, mara hakuna kinachoendelea, sasa tuamini kipi? tupeni mambo ya uhakika. tuko hata kula hatujaenda.
au wanataka wawasemee usiku ni? hadi sasa hamtupi kinachoendelea
Habari nilizozipata ni kwamba,rostam alishinda jana kutwa nzima anahojiwa na watu wa takukuru na anatarajiwa naye kufikishwa mahakamani,na kwamba karamagi hajafikishwa kisutu ila kundi linalofuata kupandishwa kortini ni la wote waliohusika na RICHMOND
Mkuu naomba website ya MWANAKIJIJI.
Mwanakijiji.com