Kutumia umeme units 75 kwa mwezi(tariff 4) ni kujidanganya ama kudanganya

Zipo fine ni LED. Zipo mjini kwenye maduka ya vifaa vya umeme. Ukisoma review yake mitandaoni, iko poa
Mkuu hata km ni LED. Wati 3 unapata mwanga (lumens) hafifu sn. Wati 3 ya LED ni chini ya wati 30 ya zile balbu za kibuyu (incandescent).

Labda km unatumia kulalia ila sio za kufanyia kazi utaumia macho. Wati 3 ni km unatumia kibatari kilichonyanyuliwa utambi
 
Mkuu hata km ni LED. Wati 3 unapata mwanga (lumens) hafifu sn. Wati 3 ya LED ni chini ya wati 30 ya zile balbu za kibuyu (incandescent).

Labda km unatumia kulalia ila sio za kufanyia kazi utaumia macho. Wati 3 ni km unatumia kibatari kilichonyanyuliwa utambi
Ukipima kwa lumens inakuwa karibu sawa na ya Watt 20. Anyway, ni kwa maeneo kama coridor na yale ambayo hayana mahitaji makubwa ya mwanga. Sidhani kama nina sababu ya kuvuka watt 7.
 
Dawa ya Umeme ndani mwako kabla ya hizo tarrifs ni Jinsi ulivyosuka mfumo wako wa waya. Je Earth Rod yako ni sahihi ama inavujisha umeme. Tafuta earthrod sahihi ingawa ni bei kubwa lkn matokeo yake utayafurahia, mwanzo nilihangaika lkn baada ya kuweka earhrod ya ukweli, hakika mim nainjoy.
 
Ukipima kwa lumens inakuwa karibu sawa na ya Watt 20. Anyway, ni kwa maeneo kama coridor na yale ambayo hayana mahitaji makubwa ya mwanga. Sidhani kama nina sababu ya kuvuka watt 7.
Kupanga ni kuchagua. Mimi napenda mwanga wa kutosha kabisa lakini nautumia kwa makini. Na kwann corridor hukuijenga ipate mwanga natural?

Siku nyingine usirudie hilo. Na hata sasa waeza badili kwa kuweka bati translucent hilo eneo la korido. Utaokoa mengi na hasa afya ya wanao.
 
Dawa ya Umeme ndani mwako kabla ya hizo tarrifs ni Jinsi ulivyosuka mfumo wako wa waya. Je Earth Rod yako ni sahihi ama inavujisha umeme. Tafuta earthrod sahihi ingawa ni bei kubwa lkn matokeo yake utayafurahia, mwanzo nilihangaika lkn baada ya kuweka earhrod ya ukweli, hakika mim nainjoy.
Wala si ghali. Haizidi laki na nusu kwa nyumba ya kawaida. Bei za km 4yrs back. Sasa wengine akiona cha rahisi ye kununua tu! Ubora na uwezo wala sio ishu.

Pia zaidi ya earth rod, kuna earth leakage circuit breaker. Hii ni nzuri na inasaidia sn kugundua tatizo mapema kabla bili hazijawa kichaa. Na haizidi 65k kwa za majumbani.
 
Mtu uko mjini kisha unadai maendeleo lakini unajibana kutumia umeme, mimi home tuko wawili tu mimi na wife, mtoto anasoma nje ya nchi, sina house girl wala shamba boy, nina vifaa vyote vya muhimu vinavyotumia umeme, mashine ya kufulia ( haikaushi), mashine ya kukata majani ( ya umeme), tv inch 70, mashine ya kuoshea vyombo, vacuum cleaner, saluni ya nyumani kwaajili ya matumizi ya mama tu, yenye mashine ya kukaushia nyewe na na moja ya mkononi pamoja na steamer moja na vifaa vingine vya kawaida vya umeme kwa matumizi ya nyumbani, sina muda wa kuangalia nimetumia unit ngapi na umeme ukiisha huwa na jaza wa laki na huwa sina muda wa kuangalia nimetumia kwa muda gani. Nafurahia kuwa na umeme.
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
Mkuu ya kweli hayo?
 
Mie naona sawa tu kwa kuwa price discrimination ni njia moja wapo ya kupanga bei.aidha tukitaka kila kitu bure haturltafika
 
Najibu kwa namba unit ni kwa mwezi.
1. Unit 6.5
2. Unit 1
3. Unit 13
4. Unit 12. Km friji mpya haitazd 6hrs za kazi japo iko on 24hrs. Inatumia themostat. Jitahd ijae vitu inapunguza sn ulaji umeme. Vitu vinaambukizana baridi so thmstt inakata mda mrefu. Assumption 67W type LG.
5. Unit 13. Assumption 85W
6. Unit 22.5. Assumption Kenwood 2ltr. 3000W. Kila mchemsho labda 5mins.
7. Unit 8.25. Pasi ya Philips Diva. 1100W

JUMLA KUU Units 76.25 kwa mwezi!!

Ukipambana unaeza shuka japo hujaweka vitu km redio, chaja, toaster n.k.

Jitahd sn usiache friji tupu na hakikisha themostat yake ni nzima. Km hujanunua bado basi nunua mpya. Sio used. Original brands zinadumu zaidi ya miaka 10 bila hata kutumia fridge guard.

Usiwashe Tv unnecessarily. Masaa matano daily huna hata matembezi mazoezi n.k mkuu?

Jagi tumia iwapo gesi imeisha. Kuokoa gesi, km maji ya kuoga, weka tu kdg ili yachemke haraka.
Ahsante sana mkuu wangu
Ubarikiwe sana kwa hili Somo
 
Mtu uko mjini kisha unadai maendeleo lakini unajibana kutumia umeme, mimi home tuko wawili tu mimi na wife, mtoto anasoma nje ya nchi, sina house girl wala shamba boy, nina vifaa vyote vya muhimu vinavyotumia umeme, mashine ya kufulia ( haikaushi), mashine ya kukata majani ( ya umeme), tv inch 70, mashine ya kuoshea vyombo, vacuum cleaner, saluni ya nyumani kwaajili ya matumizi ya mama tu, yenye mashine ya kukaushia nyewe na na moja ya mkononi pamoja na steamer moja na vifaa vingine vya kawaida vya umeme kwa matumizi ya nyumbani, sina muda wa kuangalia nimetumia unit ngapi na umeme ukiisha huwa na jaza wa laki na huwa sina muda wa kuangalia nimetumia kwa muda gani. Nafurahia kuwa na umeme.
shkamoo Nshomile, lazima utakua muhaya tu maana sio kwa sifa hizo
 
shkamoo Nshomile, lazima utakua muhaya tu maana sio kwa sifa hizo
Mimi msambaa full nyumbani lushoto, wapi kwenye sifa hapo? Wewe umeme unatumia kuwasha taa na kuchaji simu alafu unadai duniani kuna maendeleo? Unasoma unit zimebaki kiasi gani asubuhi mchana na jioni. Alafu ukienda kijiji unatamba nakaa mjini, tofauti yako na wakijiji ni chips mayai tu.
 
Mkuu alichokosea ajabadili W kuwa kw ndio maana imekuja hesabu kubwa angegawa kwa 1000 ile W kuwa kw harafu azidishe kwa masaa yake Dr.Akili kazidisha W moja kwa moja na masaa kupata kiasi...
Ni friji kubwa ya wastani double door. Freezer compartment yake inauwezo wa kutunza nyama ya mbuzi wawili tu kwa matumizi ya mwezi mmoja ya familia ya watu wanane. Compressor yake ni horse power 2 na made in England.

Horse power 1 ni sawa na 745 Watts. Huwa haizimwi. Sasa piga hesabu za KW×24hours×30days×400shs utapata bei ya umeme inayotumia kwa mwezi na kwa siku. Sidhani kama nimekosea sana.

Au nyie fridge zenu compressor zake zina watts ngapi na volume capacity yake ni kiasi gani. Tusije tukawa tunazungumza lugha tofauti. Maana kuna friji za ukubwa tofauti. Zingine zinauwezo wa kuhifadhi kilo moja tu ya nyama na maji lita 2 zinatumia hata umeme wa solar. Kwani hata feni ndogo tu ina watts 45 sasa unadhani zile fridge zinazouzwa kwa bei ya sh 5 milioni au zaidi zina watts ngapi hata kama zimeandikwa energy saver? Ya kwangu wala si ya bei hiyo. Friji za wananchi wengi zina wastani wa watts 800. I stand to be corrected - check the wattage of your freezers.
 
Back
Top Bottom