Kutumia umeme units 75 kwa mwezi(tariff 4) ni kujidanganya ama kudanganya

Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
kwangu kuna taa14 friji moja na pasi moja, na haviwezi kuwaka muda wote walininyima hiyo tarif na natumia umeme wa 40,000/- kila mwezi!!!
hakuna uwiano kabisa!!
vigezo vyao haviko sawa
 
TV,radio,pasi,frige 2,microwave,taa 5, Vitu muhim Ila sijawahi kuvuka umeme wa 60 elfu
Nadhani unavyo ila huvitumii. Halafu uko pekee yako. Air condition tu pekee kwa mwezi lazima izidi hizo unit 75. Taa za nje tu zinazidi unit 1.8 kwa siku. Halafu ni hivi maisha ni mfumo ukimpandishia mmoja umewapandishia na wengine. Hivi kuna mtu anajidanganya kuwa umeme wamepandishiwa kina fulani na siyo wote?! Na unapaswa ushuke.
 
Ndugu mm nipo kwenye tariff hiyo tokea mwaka 2013, na kwangu tuko wawili ila sometime napata wageni, 3 bedrooms taa ziko 15 ila haziwaki kwa wakati mmoja, fridge, tv mbili, water pump, rice cooker na pasi, na sijawahi kuvuka unit 70 kwa mwezi gharama ya umeme in 6000 na maji unit 5 shillingi 8000 na sijafanya makeke yeyote Yale!
Haiwezekani hata kidogo.
 
Nadhani unavyo ila huvitumii. Halafu uko pekee yako. Air condition tu pekee kwa mwezi lazima izidi hizo unit 75. Taa za nje tu zinazidi unit 1.8 kwa siku. Halafu ni hivi maisha ni mfumo ukimpandishia mmoja umewapandishia na wengine. Hivi kuna mtu anajidanganya kuwa umeme wamepandishiwa kina fulani na siyo wote?! Na unapaswa ushuke.
Kweli kabisa.
 
Wewe wakati, kauli mbiyu ya serikali ni UMEME NI MAISHA, wewe unasema umeme ni anasa, unatafuta kesi nini?
 
Inawezekana kabisa kutumia umeme chini ya unit 75. Kwangu ni mifumo 2, tanesco na solar. Taa za sola hutumika mara nyingi. Mwaka jana nilienda ofisi za tanesco hapa Arusha kuomba kubadilishiwa tariff. Nilipewa majibu mepesi tu. "System inabadilisha yenyewe siku hizi" Wadau naomba ukweli wa jibu hilo ama basi tu.
 
Inawezekana kweli, lakini huwezi kutimiza mahitaji muhimu kwako, ambayo ni lazima utumiye umeme
 
Mimi nina tv,friji,microwave,washing machine,music system,electric cooker,kettle,taa 16 ndani, nje taa 6 lakini umeme situmii zaidi ya 40,000/- kwa mwezi.

Why ? Kwasababu
1.niko peke yangu
2.natoka asubuhi narudi usiku siku sita kwa wiki. Muda ninaotumia umeme hauzidi masaa mawili, friji nazima.

Kwahio sio una nini ila ni kiasi gani unatumia hivyo vifaa vya umeme ulivyonavyo.
 
Wakuu,

Leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.

Watumiaji wa kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv, computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.

Kuna wateja wengine wa TANESCO wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.

Sasa ninachowaomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima.
Mkuu kinachotokea hapo ni kulimbikiza units za umeme kwa muda kidogo halafu baadae unaanza kutumia kama kawaida

Yani ukinunua huo umeme wa units 75 kwa mara ya kwanza unabana sana matumizi kwa malengo maalumu, unaweza kubana hata kwa miezi 6,mfano ukafikisha unit 300 baada ya hapo unaanza kutumia kama kawaida vifaa vyote kwa kuwa units zimejikusanya na kuwa nyingi kwa hiyo unakuwa huna wasiwasi unaendelea na kununua umeme wako wa tarrifs bila kuwa na wasiwasi kwamba utaisha mapema
 
Nadhani unavyo ila huvitumii. Halafu uko pekee yako. Air condition tu pekee kwa mwezi lazima izidi hizo unit 75. Taa za nje tu zinazidi unit 1.8 kwa siku. Halafu ni hivi maisha ni mfumo ukimpandishia mmoja umewapandishia na wengine. Hivi kuna mtu anajidanganya kuwa umeme wamepandishiwa kina fulani na siyo wote?! Na unapaswa ushuke.
Hizo taa za nje zinakula unit hizo kwa siku ni aina gani? Ziko ngapi?
 
Wakuu,

Leo nimeona niwaletee group ya watumiaji umeme wa TANESCO wa watu wa kipato cha chini tariff 4 units 75 kwa mwezi.

Watumiaji wa kundi hili, ili wasivuke kiwango cha units 75, nilazima wajinyime kutumia pasi, feni, tv, computer, friji nk na haiwezekani ukiwa na family uepukane kutumia vitu kama hivi muhimu kwa maisha ya binadamu, kwa hapo wenye umeme, wasio tumia vitu hivyo WANAJIDANGANYA.

Kuna wateja wengine wa TANESCO wamo kwenye kundi hili la TARIFF 4, wanatumia vitu vote, na tena hawavuki units 75, hao wanaidanganya tanesco, kwa figisu moja au nyingine.

Sasa ninachowaomba TANESCO na EWURA, badala ya kundi hili la wasio jiweza kuwapa units 75, wa wape units 150 ili na wao wapate unafuu wakutumia umeme bila kujinyima.
Huo ndiyo ukweli wenyewe! Ni utaahira kujitapa eti wananchi wengi sasa wanatumia umeme wakati matumizi yao yamebanwa na masharti ya gharama wasiweze kumudu hata matumizi ya feni kujipepea!
 
Back
Top Bottom