Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
nimesomweshwa na serikali ya.ccm mpaka masters level kwa nini nisifanye kazi nje ya nchi nyie endeleeni kulalama jf wenzenu tunasonga mbele
Basi hujaelimika! Yaani una masters lakini hujui vitu basic? Au ni masters ya Atlantic university?