Kutoka Mlimani City: Mkutano wa Makandarasi Tanzania 2011!

Kilichotokea ni: swali la mjumbe lilielekezwa kwa nssf iliyowakilishwa hapa na ndugu mataka ambalo liliuliza hivi "bwana mataka tunaomba ufafanuzi juu ya mradi wa ujenzi wa udom kulingana na ushahidi nilio nao nikuwa ktk mradi huo kosatant alipewa mmoja tu na huyo mtu alibebwa kutokana na ushemeji wa mmoja wa wajumbe wa kamati ya miradi nani ya nssf!
Mradi wa ujenzi wa Benjamini mkapa tower upande wa umeme kandarasi CRJE alipewa afanye wakati yeye ni wa ujenzi na haikufuata utaratibu wa tenda?

Hizi habari hazina ukweli wowote ule. Unapotosha umma.
Ushahidi huo mbona uko vague?
CRJE sio ma consultant wa Mkapa tower bali consultant alikuwa ni Mhindi (Mtanzania) na si Mchina kama unavyosema
 
Anazungumzia juu ya masoko ya nje, mkandarasi awe na ujasiri wa kupenya kwenye ushindani wa kimataifa bila kusita kwani serikali inaweka mazingira imara juu ya swala hilo hasa afrika mashariki!
 
Hizi habari hazina ukweli wowote ule. Unapotosha umma.<br />
Ushahidi huo mbona uko vague?<br />
CRJE sio ma consultant wa Mkapa tower bali consultant alikuwa ni Mhindi (Mtanzania) na si Mchina kama unavyosema
<br />
<br />
Mimi naripoti kinachotokea hapa! Mimi si jaji wala shidi wa upande mmoja! Tumeambiwa kesho ushahidi wa kinyaraka wa nssf utakuja hivyo kuwa na subira!!!
 
Majibu ya Eng Mataka hayajawaridhisha makandarasi hivyo amesema anazo nyaraka atazileta kesho, imebidi aingilie kati mw/kiti wa crb kutuliza murkari ya mataka na muuliza swali baada ya kutokea mabishano ya kihoja na kiutaalamu!
Yecco mbona unakuwa activist.Eng Mattaka metoa data kikamilifu juu ya swali alilouliza yule mkandarasi juu ya UDOM.
Ndg Mataka data zote na maelezo amezitoa kichwani kama anavyofanya Magufuli.Imekuwa aibu kubwa kwa muuliza swali kwani alichokuiliza kilikuwa kimejaa majungu na chuki.
Inasikitisha sana kwa huyu jamaa kulifanya jopo la watu wenye akili yeye kumwaga upupu usio na idhibati.
 
Kamala: makandarasi kila mmoja ajitahidi kuwa na pasipoti sio inatikea unataka kwenda hata kenya tu unaanza kuhangaika kwa kupanga foleni!
 
Hizi habari hazina ukweli wowote ule. Unapotosha umma.
Ushahidi huo mbona uko vague?
CRJE sio ma consultant wa Mkapa tower bali consultant alikuwa ni Mhindi (Mtanzania) na si Mchina kama unavyosema
Watu wanaandika wakifikiri wako peke yao hapa Mlimani City, na sisi tupo wajameni andikeni ukweli!!!!!!!!
 
Yecco mbona unakuwa activist.Eng Mattaka metoa data kikamilifu juu ya swali alilouliza yule mkandarasi juu ya UDOM.<br />
Ndg Mataka data zote na maelezo amezitoa kichwani kama anavyofanya Magufuli.Imekuwa aibu kubwa kwa muuliza swali kwani alichokuiliza kilikuwa kimejaa majungu na chuki.<br />
Inasikitisha sana kwa huyu jamaa kulifanya jopo la watu wenye akili yeye kumwaga upupu usio na idhibati.
<br />
<br />
Nadhani tusubiri kesho ndipo tutajua vema kama kuna ukweli wowote ktk madai ya muuliza swali!
 
<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/138291-crje-na-ufisadi-serikalini-2.html#post2369029" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/138291-crje-na-ufisadi-serikalini-2.html#post2369029</a>
<br />
<br />
Nadhani hii itasaidia kuuweka huru umma wa makontractor
 
Eng Makayi anasema zambia imeweza kupunguza gepu la makandarasi wa kigeni kukumbatia miradi yote bila kutoa sub kwa local contractors!
 
Eng Makayi amemaliza kwa kubigiwa makifi sasa anayefuata ni Eng wa South anaanza kwa kiswahili na kusema anatokea moro wajume wanacheka na kumshangilia!
 
Tuhuma za rushwa NSSF na ma contractor ni nzito lakini najiuliza huko Dodoma kuna nini?


jibu lako liko hapa:

1-26.jpg
 
Eng Nuton Kampala: malawi ina uhaba wa makandarasi ambao ni 2000 tu na yenye sifa ya kimataifa ni kumi tu!
 
Eng Nuton Kampala: ninawakaribia mje muunga kwaajili ya miradi iliyo kwetu kwakuwa waliyopo ni wachache na ni wala rushwa wa kubwa!!
 
Back
Top Bottom