GAMBA GOSSI
Member
- May 6, 2015
- 34
- 18
UKUTA LAZIMA UWEPO ILI KUINUSURU NCHI, SI MMESIKIA UYUO VIKUU KUFANYA MIJADALA NA MIDAHALO MPAKA KIBALI CHA POLOSI???
hahahaha basi hiyo kazi itakuwa ni ya familia yenu,,,,,, tehehehe malaika wameshuka na kuisambaratisha Ukuta na sasa mbowe na lowasa wamekula mifuko ya cement....Mwezi uliopita nilifanikiwa kumshawishi bosi sijaenda job.. embu semeni kinachoeleweka niandae kizungu cha majonzi
Ukuta hewa.ukuta upo au haupo?
UKUTA uliopangwa octoba mosi umeshafanyika Dernmark na Germany. Hivyo endeleeni kununua T- Shirt za Chama, na mkalipie kadi zenu za uanachama ili tupate tena mtaji wa kufanya ukuta Marekani, Malaysia, SADC na kwingineko.UKUTA LAZIMA UWEPO ILI KUINUSURU NCHI, SI MMESIKIA UYUO VIKUU KUFANYA MIJADALA NA MIDAHALO MPAKA KIBALI CHA POLOSI???
wasizuie uoneMbowe na wafuas wake mnamatatizo ya akili...hata muitishe maandamano nchi nzima...hamtopata uungwaji mkono toka kwa WaTz wazalaendo.
mbowe ana akili sana daaaa ukuta kwenye level za kimataifa teh teh...UKUTA uliopangwa octoba mosi umeshafanyika Dernmark na Germany. Hivyo endeleeni kununua T- Shirt za Chama, na mkalipie kadi zenu za uanachama ili tupate tena mtaji wa kufanya ukuta Marekani, Malaysia, SADC na kwingineko.
Big UP MBoweeeeeeeeee na Lowassaaaaaaa Mpaka waje wajijue kuwa wao ni Mitaji itachukua miaka MIA
ndio ulichoelewahahahaha Mbowe kweli ni chekibob yani anasema ukuta umeshafanyika germany,dernmark na sasa wanapanga kwenda kuufanya marekani,malaysia na kwingineko...hahahaha halafu hapa nchini wanachadema kazi yenu ni kununua t-shirt za ukuta,kofia,magauni ili kuchangia operation ukuta huko ugaibuni teh teh