wazee wa ukuta kazi mnayo mwaka huu mtajenga mpaka ukuta wa mapovu.
Hivi issue ya UKUTA bado ipo kwelii maana sasa hivi macho ya watanzania katika siasa HABARI INAYOPAMBA MOTO NI LIPUMBA NA CUF
Haswa macho ya watanzania wanataka kufahamu nini kitajiri chadema off course kipindi hiki imeanza kusahaulika,
Sasa hivi habali ya mjini inayosikika ni cuf , maalim seif, mtatiro na lipumba kuhusu ukuta watu washaanza kusahau taratibuuu hahaa
Kaka yangu ben sanane ni utani tuu huu lakini kweli
Hivi issue ya UKUTA bado ipo kwelii maana sasa hivi macho ya watanzania katika siasa HABARI INAYOPAMBA MOTO NI LIPUMBA NA CUF
Haswa macho ya watanzania wanataka kufahamu nini kitajiri chadema off course kipindi hiki imeanza kusahaulika,
Sasa hivi habali ya mjini inayosikika ni cuf , maalim seif, mtatiro na lipumba kuhusu ukuta watu washaanza kusahau taratibuuu hahaa
Kaka yangu ben sanane ni utani tuu huu lakini kweli
Mungu tafadhali sana uulani ukutaMungu ibariki UKUTA .
Mungu ibariki UKUTA .
Mungu tafadhali sana uulani ukuta
Video imekaa kikamanda-kamanda.Hiyo video mbona haina sauti?
Kipanya naye.... mgomvi sana
Kimenuka !Sijaelewa...vipi Tujiandae na Ukuta ama?
ukuta upo au haupo?Kimenuka !