Panga Makalikuwili
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 291
- 432
Ni kweli watawala walidhamilia kutoa dispilini, '' kipigo cha kufa mtu '' walidhamilia kupiga watu hata ikibidi wengine wafe kwani ilishasemwa mara nyingi kuwa amani yetu italindwa kwa ghalama yoyote. Viongozi wa chadema wangeoneka si waungwana kama wangeendelea kuwashawishi wafuasi wao wajipeleke kwenye maangamizi wakati wameshaelewa kila kitu kilichopagwa kuwatokea wao na wafuasi wao ikiwa wangeandamana. Hapa viongozi wa chadema wanastahili pongezi kwa wepesi wao wa kusoma alama za nyakati, Kwani kama si hivyo saa hii tungekuwa tukiongelea maafa yaliyotokana na UKUTA. Hongereni viongozi wa chadema, hali ilikuwa mbaya hata wananchi tuliona.