Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

Status
Not open for further replies.
Hivi hiyo kesi ina utata kiasi gani hadi ichukue muda wote huu? Huyo hakimu au sijui jaji, kaandika kitabu kizima au?

Hapana mkuu mawasiliano yalikua magumu kidogo kutoka mamlaka ya juu kabisa ili afanye maamuzi yatakayo mbakisha kazini vinginevyo jaji anaweza akamwaga unga wake wewe si unajua wadhamini wakuu wa movie hii ?
 
Mahakama kuu ya Tanzania imetengua maamuzi ya Chadma ya kumvua madaraka Zitto Kabwe.
Judge amesisitiza sana umuhimu wa demokrasia na kuvumiliana inapotokea tofauti ya mawazo. Amesema, kila mtanzania anastahili kusikilizwa na kupewa nafasi ya kuamua atakalo bila kuvunja katiba ya nchi. Kwa hiyo haoni iweje hawa Chadema, tena watatu watatu tu, mwenyekiti, katibu na mnadhimu mkuu wa chama ndiyo wawe miungu watu kwa kunyanyasa watao maoni chanya kuhusu mustakabari wa nchi kidemokrasia.


haya kachukue kopo ukachambe...
 
Mziti kabwela anatia kichefuchefu. Hata kama atashinda hili shauri bado historia itamhukumu!

Ngoma ikivuma sana i karibu kupasuka!
 
dancing-elephant-animation-shaking%2Bass.gif
 
Mahakama kuu ya Tanzania imetengua maamuzi ya Chadma ya kumvua madaraka Zitto Kabwe.
Judge amesisitiza sana umuhimu wa demokrasia na kuvumiliana inapotokea tofauti ya mawazo. Amesema, kila mtanzania anastahili kusikilizwa na kupewa nafasi ya kuamua atakalo bila kuvunja katiba ya nchi. Kwa hiyo haoni iweje hawa Chadema, tena watatu watatu tu, mwenyekiti, katibu na mnadhimu mkuu wa chama ndiyo wawe miungu watu kwa kunyanyasa watao maoni chanya kuhusu mustakabari wa nchi kidemokrasia.


Hahahaha, huyo jaji wa namana hiyo lazima atakuwa CDM, tena alikuwa anajiandaa kuchukua fomu za kugombea unaibu katibu mkuu chini ya uenyekiti wa zitto
 
Swali la msingi, tuchukulie ZZK kwa bahati mbaya mahakama ikakosea na kumpa ushindi ;Je atamuongoza nani?; In short this guy must go and this will mark the end of his populality in politics; politically he is finished kwa upepo wa siasa za Tanzania.
 
Team ya Mbowe na Wachaga wengine,,,,Hameni mjini nendeni
tena xmass kwenu mrudi mwezi wa pili. Zitto kawatia adabu.

Pole sana utaendelea kutuona kila mahali ndani ya nchi hii na kila nyadhifa tutakua nazo yote hyo ni elimu bora tuliyoipata tokana na juhudi zetu.
 
Sijui kwanini nyie wachaga hamumpendi zito

mnawivu wa kishambenga nyie
mkuu zitto anapendwa na waha wenzake, lakini kama sisi wa kusini hatuna mpango naye! Mwambieni biashara ya uswis aiache mara moja, maana kwa sasa aendelee na mgao toka kwa fisadi Nimrod!
 
mkuu sana @sixgates ,,,, ,@ritz ,,,,,, Latoya mko wapi leo hatupati updates? mkuu @sixgates sielewi leo kuna nini maana nyuzi zako zote zinazimwa nakuaminia mkuu pamoja tutafika tu.

cc FaizaFoxy....... ZeMarcopolo..... MSALANI.... Simiyu Yetu...... Mzee.... Pasco


Naskia Chadema wahafidhina wamekimbia mji wamerudi kwa babau yao huko TENGERU,,WAKIGOMA WAMEITEKA DARUL SALAAM,,

HA HA HA
 
mkuu mbona umekuwa kimya ghafla vipi tena umepigwa na kitu kizito nini au kitu chenye ncha kali


Wakuu nimelazimika kuripoti japo sipo eneo la tukio lakini kwamsaada wa vitendea kazi muhimu vilivyopo mahakamani hakuna kitakachoharibika,

Watu wameshaingia kwenyevukumbi wa mahakama, mawakili wa pande zote wapo,

Lisu anatanabaisha kuwa uamuzi wa kesi hii utasomwa saa kumi kamili.

Vuteni subira kila kitu kitakuja hapa live,


Wakuu,

Jaji ameingia, na karani tayari ameshasoma jalada la kesi husika

Mawakili wanajitambulisha,

Jaji anaomba radhi kwa kuchelewa kuanza kusoma hukumu

Anarudia summary ya juzi aliyosoma kuhusu historia ya pingamizi na mwenendo wake

Zitto alitaka alitaka CC isijadili uanachama, amri yoyote itolewe na mahakama pia chama kilipe gharama za kesi

Upande wa utetezi umeweka pingamizi leo asubuhi kutolipa gharama ya kesi ikiwa Zitto atashindwa kesi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom