WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
kusini gani??
Huku kusini haipendwi chadema,isipokuwa anapendwa zito tuh,,
michaga mikabila,midini huku haina nafasi
labda huko huko tengeru
Mkuu zitto kawaliza wenzake tayari.
kusini gani??
Huku kusini haipendwi chadema,isipokuwa anapendwa zito tuh,,
michaga mikabila,midini huku haina nafasi
labda huko huko tengeru
Mkuu udini ni mzuri mbona wewe ni mtu wa dini uko huku? natumeambiwa tutenganishe dini na siasa.
Chama kipi hicho?Hii kesi haikustahili hata kufikia hapa ilipofikia. Ningekuwa mimi ndo jaji ningeitupilia mbali siku ya kwanza na kuwarudisha waende wakayamalize wenyewe kwenye chama chao.
hukumu bado???
Ondoa u.p.u.m.b.a.v.u wako hapa mbona sisi wangoni kibao tu huku tupo CDM yaani mnakera nyie unaotumia ukabila na dini kujustify issue hadi kinyaaaaaSijui kwanini nyie wachaga hamumpendi zito
mnawivu wa kishambenga nyie
Nikisikia Zitto kashindwa katika hiyo rufaa yake, nazima gari kati kati ya barabara kwa furaha ili nikamatwe nikapigwe faini.......potelea mbali.
Ata mimi nauona huoo unakuja, tena umevaa nguo za njano na kijani unatokea kulee kivukoni.Ushindi unakuja
nashangaa haswataarifa za kuaminika nilizonazo kutoka HQ ya Jf ni kuwa,ili uanzishe uzi na usizimwe ni lazima uwe mwanachama wao katika vilabu vyao vya gongo vilivyosambaa nchi nzima,kama pale manzese,arusa ni kule sombetini na matejooo,songea ni kule bomba mbili kwa mama peter,moshi ndo balaa,karatu ni karibu na kwa mzee wao ambaye wanamwita katibu mkuu.
Aaaah! Bilal bin Rabah, Yani jamaa Yangu Nafurahi sn kukutana na wewe kwa muda huu!
CHAMVIGA jamaa yng Nilikua namchalua tu!
Ila mmepotea sn! Simuoni Kahtaan, Wabara, Crabat, Gombesugu, Bopwe, Mohamed Said, Nyenyere, Mlaleo na THE BIG SHOW.! yank nyie mkiamua kuuwasha moto mnauwasha kweli kweli!
Muda si mrefu utatulia na kutoa migumo kama unapumuliwa au umelowa gundi!