BIDYABALAVYE
Senior Member
- Aug 3, 2013
- 100
- 14
Jaji anazungukaaaaa
Somethin is not right.....
Hivi wewe ni kibur*d*sh* cha nani CDM,NIMESAHAU KIDOGO
Jaji anazungukaaaaa
Somethin is not right.....
WACHAGA Logic yao sijui ikoje....
Siku CHADEMA ikishinda kesi au Uchaguzi utasikia wanasema haki imetendeka...
Siku CHADEMA ikishindwa Kesi au UACHAGUZI wanasema kuna uchakachuzi umefanyika...
Hizi zinaweza kuwa ni side effects za gongo
mh! Cdm inaenda ikipoteza mvuto sasa. Bora niwe mshabiki wa m2 mzima lowasa.