Magufuli na serikali yake hawataki kukosolewa. Mbona hamuyasemi haya? Ndiyo maana wanafinya na kubinya uhuru wa vyombo vya habari na upatikanaji wake. Tumeona serikali ya JPM ikizuia TBC kurusha bunge live kwa visingizio vya kitoto. Tumeshudia serikali hii ikilifuta gazeti la Mawio bila sababu za msingi. Na ni jana tu kivuko cha Kigamboni kilipata hitilafu nusura kizame wapiga picha wa vyombo mbalimbali vya habari wakazuiwa eti mpk wapate kibali toka TEMESA. Mbona Ombeni Sefue huyasemi haya?
JK alikuwa na mapungufu makubwa ya kiuongozi lkn aliruhusu watu waseme watakavyo, waandike watakavyo na vyombo vya habari vilikuwa na uhuru kuliko sasa. Ombeni yaseme na haya.
JK alikuwa na mapungufu makubwa ya kiuongozi lkn aliruhusu watu waseme watakavyo, waandike watakavyo na vyombo vya habari vilikuwa na uhuru kuliko sasa. Ombeni yaseme na haya.