OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,712
Mv Dar es Salam
wewe umeisha zoeya vya kunyonga vya kuchinja huviweziSijawah kupendezwa kabs na Rais wang Magufuli Mungu anisameh, nature yake tu hainibariki istoshe hajafanya makubwa kama inavyosemekana usanii mwng
Huyu mpare saivi anapiga kazi hatari.
Magufuli na serikali yake hawataki kukosolewa. Mbona hamuyasemi haya? Ndiyo maana wanafinya na kubinya uhuru wa vyombo vya habari na upatikanaji wake. Tumeona serikali ya JPM ikizuia TBC kurusha bunge live kwa visingizio vya kitoto. Tumeshudia serikali hii ikilifuta gazeti la Mawio bila sababu za msingi. Na ni jana tu kivuko cha Kigamboni kilipata hitilafu nusura kizame wapiga picha wa vyombo mbalimbali vya habari wakazuiwa eti mpk wapate kibali toka TEMESA. Mbona Ombeni Sefue huyasemi haya?
JK alikuwa na mapungufu makubwa ya kiuongozi lkn aliruhusu watu waseme watakavyo, waandike watakavyo na vyombo vya habari vilikuwa na uhuru kuliko sasa. Ombeni yaseme na haya.
Sasa mbona mnahangaika na majipu? Waliopata wamepata achen wivu wa kijinga. Mnawasumbua wazee wa watu kufagia hospital, oh mara sijui nani fisadi amepata wapi hela. Huo wote wivu. Waliopata wamepata. Je hiyo ndio maana yako?Wewe kama ungeuziwa nyumba hizo ungeleta ujinga eako hapa? Waliopata wamepata wacha wivu.
Did he have any intellect at all? I think not!it as if JK was not ready to use his intellectual powers!
Kimwili, upinzani ulishakufa August 2015 ( mlivyomteua EL kupeperusha bendera) na kuzikwa rasmi October 2015..upinzani hautakufa kwa uongozi huu labda atumie udikteta wa kukandamiza wapinzani kufanya mikutano kama walivyoanza.