Kyaiyembe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 1,706
- 665
Maandamano nini?Usipotoshe nani alikwambia kulikuwa na maandamano siku ile?
Maandamano nini?Usipotoshe nani alikwambia kulikuwa na maandamano siku ile?
Mi namalizia supu ya mapupu nishibe kabisa nikifika hapo kazi moja
shamlashamla sasa zinanza kueleke jangwani nimeona elikopta ya cdm ikielekea makao makuu ya chama! sijui kuchua makamanda wakuuu?
ok mwambie yule, wao na wale plus wewe usoge jangwani kwa amani....
peoples .... power..
Ni Shamrashamra na si shamlashamla ... learn how to spell ... pro cdm utawajua tu watu wa kulekule kiswahili kibovu
Tehe tehe, wekyeamba inu ni inu wai mono mao
Utajua leo kuwa hii ni M4Chaga au M4CHANGEEEE!!!!!! Acha kujichelewesha njoo leo jangwani uvue Gamba kama
wenzio wajanja wanavyowahi""Please kimbia haraka usije ukakosa hata pa kusimama.
Mi namalizia supu ya mapupu nishibe kabisa nikifika hapo kazi moja
I really wish I can attend lakini nimefurahi kwamba M4C imefika dar maana mara nyingi imeonekana kwamba watu wa dar hawavutwi sana na chadema. Sasa M4C kila kona ya tz.
Mungu ibariki Chadema, Mungu Ibariki Tanzania.
Leo nitaleta jangwani LIVE!!