Kutoka Bungeni Dodoma: Julai 18, 2011

anamsulubu ngeleja.....naona mary nagu amechomwa mkuki...hongo wanazopewa mawaziri kupitisha mikataba hewa
 
Mbunge anayefuata wa CDM(sijapata jina lake, ni mama):
Pia haungi mkono hoja, amedai kuwa bajeti isipitishwe!
Walianza na Richmond, then Dowans mara Symbion! Leo iwe mwisho kujidhalilisha!
Madini: suala linasikitisha sana, tumewafanyia vibaya sana watanzania kwamba madini yakizinduliwa wananchi wanafukuzwa ovyo toka kwenye nchi yao! Suala la Uranium lisitishwe, limetushtua! Wananchi wawe wanapewa hisa madini yakigunduliwa!
 
hata waongee vipi ninachotaka mimi n kuona hii bajeti ya wizara hii haipiti
 
Nadhani mmesikia Mchango wangu leo wakuu. Nia ni kuwasulubu wote wasiolitakia mema taifa hili. Issue sio jina la Kigwangala ninalotumia bali ni Mchango wangu kwa jamii.
 
CCM yamwaga pikipiki Kawe Monday, 18 July 2011 08:11 newsroom NA KHADIJA MUSSA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa pikipiki 15 kwa vijana wa jimbo la Kawe, Dar es Salaam, ambapo pia kimezoa wanachama wapya 200, baadhi wakiwa kutoka vyama vya upinzani. Pikipiki hizo ni sehemu ya 26 zilizotolewa na Chama kwa ajili yavijana, ambapo 11 zimepelekwa mkoani Singida. Jumla ya gharama ya pikipiki hizo ni sh. milioni 46.8. Wanachama hao walijiunga na CCM jana, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Tegeta, ambao uliohutubiwa na Katibu wa NEC yaCCM, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba. Kwa mujibu wa wanachama wapya, wamevutiwa na sera za CCM, hivyo kuamua kujiunga na Chama. Nchemba katika mkutano huo uliohudhuriwa na umati wa wananchi, wanachama na wapenzi wa CCM, alikabidhi pikipiki 15 kwa vijana wa jimbo hilo. Alisema pikipiki hizo zimetolewa kwa mkopo, ambapo vijana watatakiwa kuunda vikundi na kukabidhi sh. 30,000 kila wiki kwa kiongozi wa kikundi, yakiwa ni marejesho ili kuwezesha kununuliwa nyingine. Katibu huyo wa NEC alisema fedhahizo zitatumika kununua pikipiki nyingine zitakazogawiwa kwa vijana wengine, ambapo kila mwezi mmoja atapatiwa. Aliwataka vijana hao kuwa waaminifu, kwani wakirejesha fedha hizo kwa wakati zitawezesha vijana 360 kupata pikipiki katika kipindi cha miaka mitano. Nchemba alisema pikipikihizo zitawasaidia vijana kujipatia ajira, ikiwa ni utekelezaji wa Ilaniya uchaguzi ya CCM kwa vitendo. Aliwataka viongozi wa vyama vya upinzani kutumia nguvu na akili katika kubuni vitu ambavyo vitawakwamua wananchi kimaendeleo, na si kuchochea vurugu na maandamano, kwani hayana tija kwa taifa. Nchemba aliingia kwenye mkutano huo akiwa amepanda pikipiki, akiwa amefuatana na Katibu wa UVCCM Taifa, Martine Shigela.


Its quite impressing...!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nadhani mmesikia Mchango wangu leo wakuu. Nia ni kuwasulubu wote wasiolitakia mema taifa hili. Issue sio jina la Kigwangala ninalotumia bali ni Mchango wangu kwa jamii.

Next time....bila ya woga.....unaanza kwa kuishukuru JF kabla ya kutoa hoja bungeni......vile wewe ni member hapa
 
Sylvester Koka (Kibaha Mjini); Serikali ilifanya makosa kubinafsisha! Ngeleja asipigwe makofi kwa kuwa ni kuwa ni kosa la Serikali!
Sijaona suala la umeme wa Geo Thermo, suala hilo liangaliwe!
Anataja maeneo ambayo hayana umeme Kibaha! Madini Gesi Mafuta, wananchi hawapewi kipaumbele, ufanyike utaratibu ili wachimbaji wadogo wasiingiliane na wachimbaji wakubwa!
Wachimbaji wakubwa huja na wafanyakazi wao wenyewe na kuwanyima vijana wetu ajira!
 
Nadhani mmesikia Mchango wangu leo wakuu. Nia ni kuwasulubu wote wasiolitakia mema taifa hili. Issue sio jina la Kigwangala ninalotumia bali ni Mchango wangu kwa jamii.

Safi maslahi ya Chama pembeni tujali maendeleo ya Taifa
 
Nadhani mmesikia Mchango wangu leo wakuu. Nia ni kuwasulubu wote wasiolitakia mema taifa hili. Issue sio jina la Kigwangala ninalotumia bali ni Mchango wangu kwa jamii.

Ukiendelea hivi utawaaminisha Watanzania kuwa ulipakaziwa na kuwa unao uwezo wa kuwatumikia Wananzega na Watanzania.BIG UP UMEONYESHA KUWA NAWE NI KIJANA WA KISASA.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nadhani mmesikia Mchango wangu leo wakuu. Nia ni kuwasulubu wote wasiolitakia mema taifa hili. Issue sio jina la Kigwangala ninalotumia bali ni Mchango wangu kwa jamii.
haya bwana hongera leo umeongea mambo ya maana,kidogo uambiwe upeleke uthibitisho una bahat ni magamba wenzio. Safi.
 
Lolensia Bukwimba: Sekta ya Madini, kuwe na Afisa Madini kwenye Halmashauri zenye madini!
Umeme, ni wakati wa kutekeleza mradi wa MCC!
HAUNGI MKONO HOJA!
 
Bajeti itapita tu!! Hao wa kina Kigwangala, sijui nani siju nani, alimuradi ni magamba bajeti itapita tu!!!

We mtu anasema "kama umeme hautapatikana hadi mwaka ujao, hatupitishi bajeti!!!" Magamba are not serious, kama kweli tunaona hili ni tatizo na hatuoni will ya serikali now!! Tuiwajibishe, bajeti isipite tu...

This is too much now!!!
 
Back
Top Bottom