....Sasa mimi nashindwa kuelewa,kwanini yule mwanamke aliyechukuliwa ASINYOOSHEWE KIDOLE? au asionekane mkosaji kwa kiwango kile kile?ukizingatia walikubaliana?
Hii dhana inaanzia wapi jamani?
...Adam blamed Eve, Eve blamed the serpent and the 'serpent' didn't have a leg to stand on[/B][/SIZE][/FONT]
!
sometime kuna makosa ila sometime fresh tu. kama mume hamtimizii mkewe ya ndani utegemee nini wakati kaolewa kwayo? mi nikipata ushahidi kuwa mke wa mtu hatoshelezwi, basi mradi huyo mke karidhia, mi nitamtosheleza tu
Ukiangalia kwa kimantiki utaona mwanamke ndo mwenye kosa....kwa nini akubali wakati anajua wazi kabisa ana mme? na ana mpenda kwa dhati na aliapa wataishi kwa shida na raha! mke ndo mwenye makosa anasaliti ndoa yake.
Kwani mwanamme aliye mtokea alimbaka au alimlazimisha si yeye mwenyeweee kamkubali jamaa.....
ukiangalia kwa kimantiki utaona mwanamke ndo mwenye kosa....kwa nini akubali wakati anajua wazi kabisa ana mme? Na ana mpenda kwa dhati na aliapa wataishi kwa shida na raha! Mke ndo mwenye makosa anasaliti ndoa yake.
Kwani mwanamme aliye mtokea alimbaka au alimlazimisha si yeye mwenyeweee kamkubali jamaa.....
Sikubaliani na wewe kwa hiyo na wanawake nao ni hulka yao maana anamwacha mmewe anakuwa na watu wa pembeni.Wanaume ni hulka yao kutoka nje ya ndoa, wameumbwa hivyo
Siku hizi kuna wanawake tena na ndoa zao wanatongoza vitoto vya shule na kuvirubuni na kuanza kutembea navyo.tayari hapo mwanamke anakuwa kesha toka kwenye ndoa.Tofauti na mwanamke kama atatongoza yeye ataivua na kumfanya atongozwae ahisi huyu mama hajaolewa.
wenye msimamo kama huu ni wachache sana kwa wanawake 1000 basi ni 1 au 2 na wewe unaweza ukawemo....lakini nani aliyekuzindua usichana wako?.....oh najua hutasema ili ni siri yako.Besides wanawake tumeumbwa kumpenda mmoja kwa wakati mmoja meaning ukiwa umeolewa basi ni mumeo tu ndie anayestahili kuujua utupu wako na si vinginevyo.
Eeewaaaa! wewe ndio tuko ukurasa mmoja.
neno hilo!....................uongo uongoooooooo?!!!!!!!
PIA ZIPO TETESI WAKUU!nasikia kinachowatoa wake za watu nje ya ndoa zao ni 'EXPRESS YOURSELF'
nasikia sikia tu kwamba wapo wanawake waliokuwa wanatumia hicho kilevi 'ENZI ZA UJANA WAO' sasa baada ya kuamua kuingia kwenye ndoa baadhi yao wamekuwa hawapati 'hiyo huduma'.Kutokana na hilo wanawake hawa 'WENYE NDOA ZAO' wanalazimika kutoka nje na kuwasaka 'MAFIRAUNI' kwa ajili ya hiyo huduma.
JAMANI YA KWELI HAYA?
Sikubaliani na wewe kwa hiyo na wanawake nao ni hulka yao maana anamwacha mmewe anakuwa na watu wa pembeni.
Fidel nadhani hujanisoma vema ndugu yangu nimesema wengi wao. Huo ni mtazamo wangu hasa nikijaribu kulinganisha idadi ya wanaotoka nje ya ndoa kati ya wanaume na wanawake. Tokea enzi utakuta idadi kubwa ni wanaume. Najua tasema wanawake mbona wako wengi ni kweli ila uwingi wa wanawake wanaofanya matendo hayo bil awoga tunawezasema its a recent phinomenon. Na hii haimaanishi kuwa wanaume wamepunguza so bado idadi yao ni kubwa kulinganisha na kina mama. Ndipo ilipobase argument yangu ya hulka.
Siku hizi kuna wanawake tena na ndoa zao wanatongoza vitoto vya shule na kuvirubuni na kuanza kutembea navyo.tayari hapo mwanamke anakuwa kesha toka kwenye ndoa.
Ni kweli SIKU HIZI wapo ila je wanapotongoza wanaadvertize kabisa kuwa wanao waume zao au wanasingizia kuwa wako single?. Kilichonifanya nikasema hivyo ni kwa vile nimezoea kuwaona wanaume ambao wanatongoza kina dada wazi wazi na pete zao vidoleni ndo mana nikahisi kuwa ni kawaida ndo mana hawana uwoga but I stand to be corrected.
wenye msimamo kama huu ni wachache sana kwa wanawake 1000 basi ni 1 au 2 na wewe unaweza ukawemo....lakini nani aliyekuzindua usichana wako?.....oh najua hutasema ili ni siri yako.
Inawezekana tumeelewana ndivyo sivyo but niliposema kuwa wanawake tumeumba kumpenda mtu mmoja simaanishi huko ulikokwenda but hebu niambie ni mwanamke gani ambaye yuko tayari kutolewa usichana na mtu ambaye amekubaliana naye kuwa hatamuoa?. Umeniuliza mimi but believe me aliyenitoa usichana wangu nilikuwa na uhakika (niliamini hivyo kwa wakati ule) kuwa ndie atakayenioa ingawa haikuwa hivyo
mwanamke anapaswa kulaumiwa kwani ndiye anaye mkubalia mwanaume na habakwi anatongozwa anakubali basi jamaa anamaliza sasa utamlaumu vp mwanaume anatembea na wake za watu wkt wewe mwenyewe ndo umemvulia?