Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 270
Hii issue ni ni very ambiguous.Mimi mfano kuna mke wa mtu alisaka namba yangu hadi akaipata na kuanza porojo zake....mumewe alivyomshtukia na kumuuliza who i am alimjibu kua mm ndo nliyentoa bikra while that is a mere lie!! Najitahidi sana kumkwepa bse i dont wanna risk my life. Worse enough ni kua she is still young miaka 25! Mumewe ana pesa nyingi tu sasa sijui why she is cheating on him. This is so weird!!