Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
!Kuna wanaume wanayo taabia ya KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU.
Kuna kasumba moja imetawala vichwa vya tulio wengi:
Sasa uchunguzi umedhihirisha wazi kwamba MWANAUME anae chukua mke wa mtu ndiye huonekana MKOSAJI SANA,na pengine hunyooshewa sana mikono mtaani!
Sasa mimi nashindwa kuelewa,kwanini yule mwanamke aliyechukuliwa ASINYOOSHEWE KIDOLE?au asionekane mkosaji kwa kiwango kile kile?ukizingatia walikubaliana?
Hii dhana inaanzia wapi jamani?
Kuna kasumba moja imetawala vichwa vya tulio wengi:
Sasa uchunguzi umedhihirisha wazi kwamba MWANAUME anae chukua mke wa mtu ndiye huonekana MKOSAJI SANA,na pengine hunyooshewa sana mikono mtaani!
Sasa mimi nashindwa kuelewa,kwanini yule mwanamke aliyechukuliwa ASINYOOSHEWE KIDOLE?au asionekane mkosaji kwa kiwango kile kile?ukizingatia walikubaliana?
Hii dhana inaanzia wapi jamani?