Kushtua gari ya automatic

Hivi ni kumbe mpaka uchezee selector ndio uwashe ? Kwa hiyo kila mwenye gari automatic ni fundi umeme ??? ,,umetumia njia hii kufikisha ujumbe kuwa wewe ni fundi umeme ,tumekuelewa wenye shida watakutafuta ,binafsi gari automatic sina mzuka nayo kabisa

hahaha mkuu soma post zote ndio utaelewa vizuri.
lengo LA post hii ni juu ya kustua GARI za automatic achana na hayo ya kuwasha GARI ikiwa kwenye D.

sababu hata mafundi wengi ukiwaambia GARI automatic ukistua inagoma wanabisha pia.

mbona humu watu huwa wanaweka maujanja ya kuchakachua simu na hatua zake au kuflush na kufanya modem zisome line zote na watu hata ambao sio mafundi simu au wataalam WA IT huwa wanafanya hivyo na kufanikiwa??

ndio maana nikatoa mfano rahisi ambao hata ww ukiwa unaendesha GARI automatic waweza jaribu pia.

endesha GARI ikiwa kwenye D izime kabisa harafu weka tena switch ON uone kama haita waka??
 
yap mm ni FUNDI UMEME lakini hata gear box za automatic nabomoa sana tuuu

mkuu nina suzuki escudo..inawasha taa ya OD hivyo haimalizi gia!! mafundi wamehangaika bila mafanikio..tatizo linaweza kuwa nini?
 
mkuu nina suzuki escudo..inawasha taa ya OD hivyo haimalizi gia!! mafundi wamehangaika bila mafanikio..tatizo linaweza kuwa nini?

mkuu hapo inamaana kwenye mfumo wa transmission kuna matatizo inawezekana kuna valve itakuwa mbovu.
au speed sensor au throttle .

labda nikuulize TAA ya OD huwa inawaka tuu ukiweka switch ON au mpaka utembee KWA umbali flani?? ndio unawaka??

hiyo Suzuki yako itakuwa ya old ndio maana inawasumbua mafundi kwa maana huwezi Pima na mashine mpaka upime fault code manually kishe utambue hiyo code inamaanisha nini?

vyote kwangu vinawezekana mkuu.au kama ww ungeweza kupima fault code mm ningekwambia inamaanisha nini.
kama upo dar twaweza tafutana.
 
Lege wewe ni fundi mzuri tu! wa umeme ila tatizo wewe ni dalali wa mafundi geabox, unamjue yule tuntu bonge mtaalamu wa gearbox pale naniliii... Ulishawahi kupiganae kazi?
 
Lege wewe ni fundi mzuri tu! wa umeme ila tatizo wewe ni dalali wa mafundi geabox, unamjue yule tuntu bonge mtaalamu wa gearbox pale naniliii... Ulishawahi kupiganae kazi?

hahahaha mm sio Dalali bana.uzuri GARI za automatic zinajitengeneza hata ww hapo unaweza yengeneza mbona sema mafundi UMEME wengi wavivu sana.wanataka kazi ya kushika tester tuu.

mm ukileta GARI haibadili gear naanzia kwenye UMEME nakagua nikihakikisha IPO poa basi kifuatacho ni kuishusha na kuibomoa.

sema kibaya zaidi gear box za automatic hazinaga spea mpya hivyo ukisema unatengeneza sio uhakika sana 100%.

maana spea unakwenda kutoa kutoka kwenye gearbox nyingine unatoa potelea mbali unaweka afadhali.


mkuu unamzungumzia BONGE yupi??

KIBIKI or?? wewe nambie BONGE WA sehem flani ndio inakuwa rahisi
 
Wakuu kuna hiki kitu ukimuuliza MTU yoyote hata mafundi wazamani wakongwe ukimwambia suala LA kustua Gari ya automatic atakwambia haiwezekani kabisaa.ukimuuliza why na akupe sababu atakupa sababu za kawaida kabisa ambazo mm kwangu zinajibika na zinakuwa na njia mbadala na bado zinabaki kutozuia kustua Gari ya automatic.

kwanza in nature mm ni mbishi niliyetukuka na ninaongea juu ya hili KWA kuwa nishawahi lifanyia majaribio zaidi ya Mara 5 na kuwala watu Hera kwa kubishana.

nimeamua kulileta kwenu wataalamu tuweze kulidiscus kwa atakaye kubakiana na mm awe na sababu za kukubaliana na mm na atakaye pingana na mm awe na sababu za kupinga kuwa haiwezekani .

maswali ,ushauri na maoni yote ruksa.

ila nimestua KWA njia moja tuu .nikipata Gari ya kuvuta nitajaribu na kuhitimisha kwa kustua kwa njia ya pili mshana jr Chipukizi
weka Neutral....sukuma,ikichanganya weka drive itawaka
 
Last edited by a moderator:
weka Neutral....sukuma,ikichanganya weka drive itawaka

itakuwa ngumu kidogo mkuu kwa kuwa ili uweke gear lazima ukanyage brake.na pia unaweza Fanya uharibifu kwenye transmission.

vipi lakini ww ushawahi jaribu njia hiyoo
 
Huyu Lege nimemuelewa sana na kw jinsi alivyo eleza na kwa utaalamu wangu ingawa sijafanya experement naamini itawaka kifupi mi mtu wa IT Nikiaangalia logic z lege gari itawaka kwa logic na wanao sema gar haiwaki wanashidwa toa sababu kwanini haitawaka . Then lege ndio ameanza hapo sabab znaz fanya isiwake .kumbuka hata gari manual haiwaki kwa kushitua mpk ufanye ma utundu kidogo ya kuweka gia kusukuma ndio inawaka na kwa automatic ina utunndu wake ambao ndio mtaalam kaueleza logic ni possible kuwaka . na sababu ni kwamba je ikitokea mazingiea ya porini mko nyikani 200 km kutoka sehemu yenye huduma gari imekatAA KUWASA SABABU BATTERY mfano mlipaki then battery imenyonya haina nguvu za kutosha mko wanaume 5 mfanyaje ili iweze kuwAka na ni Auto
 
Mi ni dereva wa malori jamani, namuunga mkono LEGE kwamba gari auto inaweza kustulika but kwa utundu kidogo,, ila kwa msiojua mtataka gari ikizima usukumwe kidogo kama unasukuma manual istuke, mtasukumwa miaka mia. Pia mbona maelezo yake hapo juu yanaeleweka tu. LEGE mimi nimekuelewa na ninajua kama auto inastulika.
 
Mi ni dereva wa malori jamani, namuunga mkono LEGE kwamba gari auto inaweza kustulika but kwa utundu kidogo,, ila kwa msiojua mtataka gari ikizima usukumwe kidogo kama unasukuma manual istuke, mtasukumwa miaka mia. Pia mbona maelezo yake hapo juu yanaeleweka tu. LEGE mimi nimekuelewa na ninajua kama auto inastulika.

Mkuu nifundishe utundu gani huo nijaribu kwenye kiGlanza changu hapa
 
Mkuu nifundishe utundu gani huo nijaribu kwenye kiGlanza changu hapa

mkuu fanya hivi weka D tafuta sehem yenye mteremko bila kuweka switch ON iache gari ishuke kwa speed ikifika speed ya kulidhisha weka switch on nakanyaga mafuta gari itawaka tuu
 
mkuu fanya hivi weka D tafuta sehem yenye mteremko bila kuweka switch ON iache gari ishuke kwa speed ikifika speed ya kulidhisha weka switch on nakanyaga mafuta gari itawaka tuu

m nimesoma maelezo na mabishano yooooote halaf nikaona isiwe shida na mm nijarb kwny hii primera hapa maskani, niakatoka nayo mpaka uwanja wa majaribio ili home wasione nnachotaka kufanya; nikaanza na kuizima halaf nikaita watu waisukume, nikaswitch off halaf nikaweka D na kazi ya kusukuma ikaanza ila work done ikawa ni 0 as gari ilisogea kw kuburuzika matairi yani kama gari iliyo kwenye brake....nikaona labda nguvu ya hawa jamaa ni ndogo nikaipeleka kwenye kilima cha approximately 45 degree of elevation, then nikazima mtambo tena halafu nikafata maelekezo tajwa kwenye red....ila mwisho wa siku matokeo yalikuwa kama ya awali as tires zilikuwa locked kutembea......HAPO NDIPO NIKAJILAUMU KWA KUPOTEZA MUDA WNG KUISOMA THREAD YOTE YA HUYU MSANII NIKAJIONA MIMI NI MPUMBAVU KUFANYA JARIBIO LA KIPUMBAVU; however nimepata idea ya kuweka nae mzigo rasmi aje aniwashie hii primera kwa maelekezo tajwa (kwenye red); sasa bwana LEGE hapa kuna 500,000/= nauli nitalipa kama ukifanikiwa pamoja na dau tajwa uje huku Temboni uliwashe hili gari....mrejeshpo utaletwa hapa kwa video ili wote muone

NB: uje na 500,000 kabisa mfukoni coz hakutakuwa na bargain

*kama uko serious kwenye hii bet niPM twende sawa
 
Last edited by a moderator:
m nimesoma maelezo na mabishano yooooote halaf nikaona isiwe shida na mm nijarb kwny hii primera hapa maskani, niakatoka nayo mpaka uwanja wa majaribio ili home wasione nnachotaka kufanya; nikaanza na kuizima halaf nikaita watu waisukume, nikaswitch off halaf nikaweka D na kazi ya kusukuma ikaanza ila work done ikawa ni 0 as gari ilisogea kw kuburuzika matairi yani kama gari iliyo kwenye brake....nikaona labda nguvu ya hawa jamaa ni ndogo nikaipeleka kwenye kilima cha approximately 45 degree of elevation, then nikazima mtambo tena halafu nikafata maelekezo tajwa kwenye red....ila mwisho wa siku matokeo yalikuwa kama ya awali as tires zilikuwa locked kutembea......HAPO NDIPO NIKAJILAUMU KWA KUPOTEZA MUDA WNG KUISOMA THREAD YOTE YA HUYU MSANII NIKAJIONA MIMI NI MPUMBAVU KUFANYA JARIBIO LA KIPUMBAVU; however nimepata idea ya kuweka nae mzigo rasmi aje aniwashie hii primera kwa maelekezo tajwa (kwenye red); sasa bwana LEGE hapa kuna 500,000/= nauli nitalipa kama ukifanikiwa pamoja na dau tajwa uje huku Temboni uliwashe hili gari....mrejeshpo utaletwa hapa kwa video ili wote muone

NB: uje na 500,000 kabisa mfukoni coz hakutakuwa na bargain

*kama uko serious kwenye hii bet niPM twende sawa

Jamaa anakulia pesa hyo maana tu anaharibu sensor kwanza
 
Last edited by a moderator:
m nimesoma maelezo na mabishano yooooote halaf nikaona isiwe shida na mm nijarb kwny hii primera hapa maskani, niakatoka nayo mpaka uwanja wa majaribio ili home wasione nnachotaka kufanya; nikaanza na kuizima halaf nikaita watu waisukume, nikaswitch off halaf nikaweka D na kazi ya kusukuma ikaanza ila work done ikawa ni 0 as gari ilisogea kw kuburuzika matairi yani kama gari iliyo kwenye brake....nikaona labda nguvu ya hawa jamaa ni ndogo nikaipeleka kwenye kilima cha approximately 45 degree of elevation, then nikazima mtambo tena halafu nikafata maelekezo tajwa kwenye red....ila mwisho wa siku matokeo yalikuwa kama ya awali as tires zilikuwa locked kutembea......HAPO NDIPO NIKAJILAUMU KWA KUPOTEZA MUDA WNG KUISOMA THREAD YOTE YA HUYU MSANII NIKAJIONA MIMI NI MPUMBAVU KUFANYA JARIBIO LA KIPUMBAVU; however nimepata idea ya kuweka nae mzigo rasmi aje aniwashie hii primera kwa maelekezo tajwa (kwenye red); sasa bwana LEGE hapa kuna 500,000/= nauli nitalipa kama ukifanikiwa pamoja na dau tajwa uje huku Temboni uliwashe hili gari....mrejeshpo utaletwa hapa kwa video ili wote muone

NB: uje na 500,000 kabisa mfukoni coz hakutakuwa na bargain

*kama uko serious kwenye hii bet niPM twende sawa

nashukuru kwa kufanya jaribio.nashukuru pia kwa kusoma thread yangu pia.lakini kwa bahati mbaya nasema kunasehem kidogo hukuelewa au hatukwenda sawa kwenye post zangu nami nasikitika kusema kuna coment 1 niliandika lakini nazani hukuipa uzito sana.

kwwnza naomba nikuulize hiyo nissan ulio jaribia wewe ni old model au hii new??

kuna aina 2 kwenye gari za kuanzisha mzunguko wa fuel pump kabla gari haijawaka.

kwanza kuna gari ambazo ukiweka switch ON tuu mafuta yanakwenda kwa sekunde kadhaa na kukata
aina hii itakubali bila tatizo lolote zoezi lako lazima lifanikiwe.100%

aina ya pili kuna gari ambazo ukiweka switch ON fuel pump haifanyi kazi but yenyewe aina hii control yake huwa inaruhusu kutoa signal ya kwenda kwenye fuel pump relay mpaka unapopiga starter.signal ya starter inapokwenda kwenye control ndio pump huanza kutoa mafuta.kwa aina hii lazima itakutoa kijasho kidogo.hapo ili gari iwake kwa urahisi unachomoa fuel pump na kuiweka ON Mda wote ipeleke mafuta ili sisubili mpaka upige starter kwa kuwa gari itakuwa kwenye D huwezi piga.


mkuu hatua ulizo anza nazo zote kuwasha gari ingekuwa vigumu kidogo jaribio ambalo ni rahisi nilikwambia chukua gari endesha speed kama 50 & 40 hivi baada ya hapo zima gari.ukisha zima likipungua speed mpaka kufika 20 or 15 weka switch ON lazima litawaka tuu.

kesho nenda katest njia hiyo then uje ulete majibu hapa kama imegoma au laa??

kama itagoma tufunge mzigo tunatafuta na shahidi m1 wahapa jukwaani.

kwa nissan nilijaribu na nissan march macho ya panzi ilikubali.
 
Last edited by a moderator:
mkuu fanya hivi weka D tafuta sehem yenye mteremko bila kuweka switch ON iache gari ishuke kwa speed ikifika speed ya kulidhisha weka switch on nakanyaga mafuta gari itawaka tuu

Mkuu siku moja nilisahau nikazima gari wakati ipo kwenye D, kuja kuwasha tena gari hata kuconduct umeme haistart as if hakuna battery kumbe gia ipo kwenye D hadi alipokuja jamaa mmoja akaniambia hivo. Sasa kwa maelezo yako naona sielewi hiviii
 
hahahaha mm sio Dalali bana.uzuri GARI za automatic zinajitengeneza hata ww hapo unaweza yengeneza mbona sema mafundi UMEME wengi wavivu sana.wanataka kazi ya kushika tester tuu.

mm ukileta GARI haibadili gear naanzia kwenye UMEME nakagua nikihakikisha IPO poa basi kifuatacho ni kuishusha na kuibomoa.

sema kibaya zaidi gear box za automatic hazinaga spea mpya hivyo ukisema unatengeneza sio uhakika sana 100%.

maana spea unakwenda kutoa kutoka kwenye gearbox nyingine unatoa potelea mbali unaweka afadhali.


mkuu unamzungumzia BONGE yupi??

KIBIKI or?? wewe nambie BONGE WA sehem flani ndio inakuwa rahisi

Mkuu Off The Topic., hivi inawezekana kuweka USB port kwenye gari ambayo haina???
 
Wakuu kuna hiki kitu ukimuuliza MTU yoyote hata mafundi wazamani wakongwe ukimwambia suala LA kustua Gari ya automatic atakwambia haiwezekani kabisaa.ukimuuliza why na akupe sababu atakupa sababu za kawaida kabisa ambazo mm kwangu zinajibika na zinakuwa na njia mbadala na bado zinabaki kutozuia kustua Gari ya automatic.

kwanza in nature mm ni mbishi niliyetukuka na ninaongea juu ya hili KWA kuwa nishawahi lifanyia majaribio zaidi ya Mara 5 na kuwala watu Hera kwa kubishana.

nimeamua kulileta kwenu wataalamu tuweze kulidiscus kwa atakaye kubakiana na mm awe na sababu za kukubaliana na mm na atakaye pingana na mm awe na sababu za kupinga kuwa haiwezekani .

maswali ,ushauri na maoni yote ruksa.

ila nimestua KWA njia moja tuu .nikipata Gari ya kuvuta nitajaribu na kuhitimisha kwa kustua kwa njia ya pili mshana jr Chipukizi

= hela
 
Mkuu siku moja nilisahau nikazima gari wakati ipo kwenye D, kuja kuwasha tena gari hata kuconduct umeme haistart as if hakuna battery kumbe gia ipo kwenye D hadi alipokuja jamaa mmoja akaniambia hivo. Sasa kwa maelezo yako naona sielewi hiviii

ni kweli mkuu huta nielewa na huwezi elewa ili uelewe fanya kujipa kazoezi kakusoma coment kadhaa.utapata jibu la swali lako.

kama huto elewa tena basi nitakuelewesha tuu mkuu kinaga ubaga.
 
mkuu hizo zingine ni mbwembwe tuu sijui TPS valve control box kwenye kustua Gari hizo ni chachandu kwenye chipsi.

main point yetu kubwa ni kuwa tutawezaje pata mzunguko wa flywheel?? hizo sensor ulizozitaja wewe hata zisipokuwepo Gari lazima itawaka tuu.kikubwa hapa ni crank shaft na camshaft sensor tu zipitiwe na mzunguko ili ziweze toa signal.

kabla hatujafika mbali kama wewe kweli ni mtaalam soon utahamia upande wangu.

ukiwa unaendesha Gari ukaizima na kuiweka OFF huku gear bado ikiwa kwenye D 2 or L nagari ikawa bado inaendelea kutembea engine itasimama au itaendelea kuzunguka??.mtaalam naomba ujibu hilo swali ndipo kwenye msingi na mzizi wakustua Gari hapo.



harafu
hayo ya gear sijui huendeshwa na vavle na hydrolic ni mbwembwe tuu sisi tunataka kupata mzunguko wa flywheel tuu ili Gari iweze kuwaka.

converter unapoliingiza kwenye gearbox huwa linaingia Mara 2 ile ya pili ya mwisho huwa ni kwaajili ya pump ya hydrolic hivyo ukizungusha tuu engine pump ya hydrolic nayo inazunguka pia.na kinachofanya Gari iweze kuondoka ukiweka gear ni kitendo cha kuruhusu hydrolic iingie kwenye diaphram na kuoparete clutch za gear husika na Gari inatembea.

mfano chukua Gari iendeshe mpaka ifike speed 80 or 60 harafu izime nauiache itembwe mpaka km I drop na kufika mpaka kwenye 40 or 20 then weka switch on uone kama Gari itawaka au haita waka ikiwaka ndio ujiulize maswali kwanini imewaka?? wakati ni automatic??

lengo LA kuiweka switch on ikiwa katika speed ndogo nikuepuka uharibifu kwenye gearbox maana speed hiyo ya 20 40 ni gear namba 1 or 2 .

MAGARI ambayo tulijaribu nayo wakati tunacheza kamali ya ubishi ni verosa ,gx100 ,Suzuki,Prado ,BMW, RAV 4,hilux D4D.

KWA kuwa MAGARI mnayo kajaribuni mkipata majibu njooni tena tuendeleze maada yetu.

USISEME TUU HAIWEZEKANI KWAJILI UMEAMBIWA HAIWEZEKANI JIULIZE KWA NN HAIWEZEKANI BAADA YA KUAMBIWA HAIWEZEKANI.

= halafu
= kamari
 
Back
Top Bottom