Kushtua gari ya automatic

vp gari lililosimama ukataka kuwasha acha hiyo sleed 20 au 40 linawaka

mkuu lengo la maada hii ni hilo lakini mm kwa kuanzia nilianza na ukiwa kwenye speed then ndio nifuate njia ya pili.kwa upande wangu naona lazima liwake tuu.

coz mpaka.sasa sijaona kama kuna kitu kinachozuia injine isizunguke ikiwekwa gear D then nakuanza kusukumwa lazima engine itazunguka na kama itazunguka basi lazima itawaka tuu ilimradi ifikie speed husika.

then kuna kitu kingine ambacho gari za automatic zimewekwa ni jinsi fuel pump inavyo oparate wengi wanaweza feli njia hii kwa kugelishwa na fuel pump.

lakini kwa gari za toyota na uhakika hutoweza feli
 
Mimi sio mtaalamu wa magari, lakini kutokana na maelezo ya waliopita huko thread za mwanzo. Ni kwamba gari linatakiwa lisukumwe kwa mwendo kasi kati ya 20 hadi 40. So funny kama ni rahisi kusukuma gari kwa spidi hiyo kama hakuna mteremko.
 
Kwa uelewa wangu mdogo wagari ya auto gear ile gear level huwa haiwezi shift kwenda kwenye D kama gari halijawaka. Je utafanyaje ili uweze stua kama gari ilizimwa kwenye P?
 
Kwa uelewa wangu mdogo wagari ya auto gear ile gear level huwa haiwezi shift kwenda kwenye D kama gari halijawaka. Je utafanyaje ili uweze stua kama gari ilizimwa kwenye P?
kweli uelewa wako mdogo. lakini ulichokisema sio kweli ni kwamba ili gear rever iweze kushift mpaka kwenye d or sehem nyingine yoyote kuna aina mbili manually huwa kuna kuwa na kibatan kimeandikwa shift unabonyeza na gear rever inatembea na njia ya kawaida unaweka swich on na kukan yaga brake ina move
 
Kama kweli uliweza we kibokooo,, make navojua na kauzoefu nilikonako automatic car huwezi kuishtua kwa stail iyoo ,, je iliwaka?
 
Wakuu kuna hiki kitu ukimuuliza MTU yoyote hata mafundi wazamani wakongwe ukimwambia suala LA kustua Gari ya automatic atakwambia haiwezekani kabisaa.ukimuuliza why na akupe sababu atakupa sababu za kawaida kabisa ambazo mm kwangu zinajibika na zinakuwa na njia mbadala na bado zinabaki kutozuia kustua Gari ya automatic.

kwanza in nature mm ni mbishi niliyetukuka na ninaongea juu ya hili KWA kuwa nishawahi lifanyia majaribio zaidi ya Mara 5 na kuwala watu Hera kwa kubishana.

nimeamua kulileta kwenu wataalamu tuweze kulidiscus kwa atakaye kubakiana na mm awe na sababu za kukubaliana na mm na atakaye pingana na mm awe na sababu za kupinga kuwa haiwezekani .

maswali ,ushauri na maoni yote ruksa.

ila nimestua KWA njia moja tuu .nikipata Gari ya kuvuta nitajaribu na kuhitimisha kwa kustua kwa njia ya pili mshana jr Chipukizi
Napita,ntarudi baadae........
 
kweli uelewa wako mdogo. lakini ulichokisema sio kweli ni kwamba ili gear rever iweze kushift mpaka kwenye d or sehem nyingine yoyote kuna aina mbili manually huwa kuna kuwa na kibatan kimeandikwa shift unabonyeza na gear rever inatembea na njia ya kawaida unaweka swich on na kukan yaga brake ina move
= gear lever
 
huwezi stua gari ya automatik transmission caz gear engegement tofauti na manual,at trans inakaribu clatch plate zaidi ya moja alafu msaada mkubwa wa hiz plate ni haidrolic inayohitaji izungushwe na mzunguko mkubwa wa engine then ndani ya hiz geabox kuna valve ambazo kazi yake ni kurususu haidrolic kupita ambazo ufungukaji wake unahitaji control box. control box hiyo ndio ianyoruhusu gari kubadili gear na kukokotoa speed katika over drive vitu hivi vyote vinahitaji engine iliyo silence ili ihesabu mapigo ya gari kwa kutumia sensor za TPS, Mass air flow sensor , vacuum sensor, tempurature sensor na lakini sababu kuu zaidi inayopelekea gari ya at usiweze kustua ni mfumo wa hydrolic hii ndio drive ya gari . Kumbuka unaposukuma gari ya auto ukiwa umeweka d geabox itakuwa inazunguka ndani yenyewe huku top shaft hai haija oana na converter dah! sema mambo yenyewe ya kizungu, mimi haya magari ndio mwenyewe kabisaa.
Well Done
 
Sababu kubwa ni kuwa, auto tranny haina kiunganishi cha moja kwa moja kati ya engine na matairi (tranny), tofauti na ilivyo kwenye manual. Kwenye auto kinacho unganisha hivyo viwili ni torque converter ambayo huwa imejaa kimimnika (fluid). Engine inatakiwa ku run angalau kwenye idle ili iweze kutengeneza msukumo (kwenye torque converter) wa kufanya matairi (tranny) yazunguke.

Sasa kinyume chake, unapo sukuma gari hutengenezi msukumo wa kutosha kuzungusha torque converter hatimaye engine, kwa hiyo gari haiwezi kuwaka.
Kwa hiyo tuchukulie ukiwa mteremkoni, ukaliachia gari mwendo wa kutosha kama 20km/hr Ukashtua litawaka?
 
mkuu kama umenisoma vizuri kwenye hiyo post ya kuwashia Gari kwenye D na umenielewa hakika huto bisha.

kama unataka tuwekeane kidau tangaza ww tuwekeane sh ngapi ngapi?? mm nije niichezee selector kidogo harafu nakuwashia Gari kwenye D na inachapa mwendo kama kawaida .kama kutakuwa na FUNDI UMEME huko hatoweza bisha hili
Sasa MPAKA UCHEZEE SELECTOR! (kuharibu wazungu walivyotengeneza) Sasa sema hivi, gari linawaka endapo fundi ataharibu mfumo harisi wa selector. Asipoharibu hakuna kuwaka
 
Gari ya manual ni rahisi mkuu unaweka switch ON .unaweka kabisa gear namba 2 or 3 ndio wengi huwa wanastulia gia hizo baada ya hapo unakanyaga clutch na na kama kuna watu wanakusukuma au unavutwa na Gari nyingine baada ya kuvutwa au kusukumwa mpaka kwa speed flani ambayo unaridhika nayo yakawaida tuu unaachia clutch na kukanyaga accelerater Gari itawaka.
Kuna gari Suzuki vitara ilikuwa na gear box automatic nimenunua lakini hiyo gear box ilikuwa imeshauzwa(haipo), fundi kaniambia inawezekana kufunga manual gear box. Je uwakaji wake kwa kusukuma itakuwa sawa na huu ulioeleza hapa?
Kuna athari zozote za kwenye connection za nyaya zinazotoka kwenye control box?
 
nashukuru kwa kufanya jaribio.nashukuru pia kwa kusoma thread yangu pia.lakini kwa bahati mbaya nasema kunasehem kidogo hukuelewa au hatukwenda sawa kwenye post zangu nami nasikitika kusema kuna coment 1 niliandika lakini nazani hukuipa uzito sana.

kwwnza naomba nikuulize hiyo nissan ulio jaribia wewe ni old model au hii new??

kuna aina 2 kwenye gari za kuanzisha mzunguko wa fuel pump kabla gari haijawaka.

kwanza kuna gari ambazo ukiweka switch ON tuu mafuta yanakwenda kwa sekunde kadhaa na kukata
aina hii itakubali bila tatizo lolote zoezi lako lazima lifanikiwe.100%

aina ya pili kuna gari ambazo ukiweka switch ON fuel pump haifanyi kazi but yenyewe aina hii control yake huwa inaruhusu kutoa signal ya kwenda kwenye fuel pump relay mpaka unapopiga starter.signal ya starter inapokwenda kwenye control ndio pump huanza kutoa mafuta.kwa aina hii lazima itakutoa kijasho kidogo.hapo ili gari iwake kwa urahisi unachomoa fuel pump na kuiweka ON Mda wote ipeleke mafuta ili sisubili mpaka upige starter kwa kuwa gari itakuwa kwenye D huwezi piga.


mkuu hatua ulizo anza nazo zote kuwasha gari ingekuwa vigumu kidogo jaribio ambalo ni rahisi nilikwambia chukua gari endesha speed kama 50 & 40 hivi baada ya hapo zima gari.ukisha zima likipungua speed mpaka kufika 20 or 15 weka switch ON lazima litawaka tuu.

kesho nenda katest njia hiyo then uje ulete majibu hapa kama imegoma au laa??

kama itagoma tufunge mzigo tunatafuta na shahidi m1 wahapa jukwaani.

kwa nissan nilijaribu na nissan march macho ya panzi ilikubali.
Hapo kwenye red unaichomoa wapi, tupe kautundu, wengine idea ipo mbali na hatupendi kukwama porini
 
anajaribu kutuatia nja mbadala wakati wa dharula gari ianweza kukuzimikia porini na kuna wa usukuma why not try? kwa kifupi napngeza kwa ubunifu mm nacukua hizi nondo zake huwezi jua kuna siku zitaniaidia!! Bravo LEGE!
sawa unazichukua, lakini unaelewa pale aliposema ili iwake "unachomoa fuel pump ili isukume mafuta wakati wote kwa gari zile ambazo hukata mafuta?" mtego ndio upo hapo kama wewe ni mjuzi wa kushika usukani tu na kuongoza gari! Mie nimemtupia swali anieleweshe, kama mnajua mtujuze
 
anajaribu kutuatia nja mbadala wakati wa dharula gari ianweza kukuzimikia porini na kuna wa usukuma why not try? kwa kifupi napngeza kwa ubunifu mm nacukua hizi nondo zake huwezi jua kuna siku zitaniaidia!! Bravo LEGE!
sawa unazichukua, lakini unaelewa pale aliposema ili iwake "unachomoa fuel pump ili isukume mafuta wakati wote kwa gari zile ambazo hukata mafuta?" mtego ndio upo hapo kama wewe ni mjuzi wa kushika usukani tu na kuongoza gari! Mie nimemtupia swali anieleweshe, kama mnajua mtujuze
 
ukifungua box fuse utakuta kuna relay imeandikwa fuel pump relay unachokifanya unaichomoa hiyo na kuweka kipande cha waya kwenye pini.

au kama unaweza unabandua mfuniko wa relay na kuweka kitu ili kuifanya contact za relay zibane au unazibanisha machenically.

ila kama unakuwa unazifaham relay haiwezi kukupa shida sana
nimekupata kuna maswali nimekuuliza sana kuhusu hii, hakuna haja ya kuyajibu
 
Kuna gari Suzuki vitara ilikuwa na gear box automatic nimenunua lakini hiyo gear box ilikuwa imeshauzwa(haipo), fundi kaniambia inawezekana kufunga manual gear box. Je uwakaji wake kwa kusukuma itakuwa sawa na huu ulioeleza hapa?
Kuna athari zozote za kwenye connection za nyaya zinazotoka kwenye control box?
kwa ushauri wangu mkuu ni bora ukanunua gearbox ya automatic kwa sabbau zipo nyingi sana lkn ukisema ufunge manual ujue hapo ni shuguli ya kufanyia modification coz lazima uongeze pedal ya clutch pamoja na kununua flywheel nyingine kubadili gear lever kuweka ya manual na modification nyingine garama hizo zitakuwa kubwa sana
 
kwa ushauri wangu mkuu ni bora ukanunua gearbox ya automatic kwa sabbau zipo nyingi sana lkn ukisema ufunge manual ujue hapo ni shuguli ya kufanyia modification coz lazima uongeze pedal ya clutch pamoja na kununua flywheel nyingine kubadili gear lever kuweka ya manual na modification nyingine garama hizo zitakuwa kubwa sana
Ila mie nilikuwa na manual gear box iliyokamilika na pedal zake, ndio akaniambia naweza tumia hiyo. Na tayari imeshafungwa, kuna kitu walifunga pale kwenye engine panapoungiwa gear box (sijui ndio hiyo gear lever) ndipo ikaunganishwa na gear box. Hapo NADHANI HIVYO UNAVYOSEMA TAYARI VILIKUWEPO. Nikaona badala ya kutafuta automatic kwa USAWA HUU WA MAGUFURI ngoja kwanza nipumue na manual.
ok. kwa pande zako automatic zinapatikana kwa bei gani?
 
Ila mie nilikuwa na manual gear box iliyokamilika na pedal zake, ndio akaniambia naweza tumia hiyo. Na tayari imeshafungwa, kuna kitu walifunga pale kwenye engine panapoungiwa gear box (sijui ndio hiyo gear lever) ndipo ikaunganishwa na gear box. Hapo NADHANI HIVYO UNAVYOSEMA TAYARI VILIKUWEPO. Nikaona badala ya kutafuta automatic kwa USAWA HUU WA MAGUFURI ngoja kwanza nipumue na manual.
ok. kwa pande zako automatic zinapatikana kwa bei gani?
Mkuu kama umefunga manually big up sana.hiyo ndiyo yenyewe haswaa
 
Back
Top Bottom