yshima
Member
- Sep 12, 2010
- 31
- 1
Jamani nina simu ya kichina ..lakini kila nikijaribu kuseti internet/wap nashindwa. Kinachonishinda hasa ni pale ninapo hitajika kuingiza IP adress...naombeni msaada kwa yeyote wenye ufahamu wa hili...hasa IP adress za mtandao wa zain tz,vodacom tz,nk...Thanks inadvance!!