kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Timu zetu 4 kufanikiwa kwenda kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao ni kama vile yamemaliza kiu ya kuwa bingwa kwa msimu huu. Mshindi wa kwanza na wapili wa VPL hawana tofauti kubwa maana tofauti kati ya zawadi ya mashindi wa kwanza na pili hairushi roho washindi wa pili, ni ndogo sana.
Kilishorusha roho watu wengi nchini ni kile kilichotokea tarehe 3 July mbele ya mgeni rasmi Rais Samia. Aliyefurahi siku ile ndiye mshindi wa msimu. Maana ni bahati kubwa Mama Samia kuhudhuria tukio kama lile.
Mechi zilizobakia ni muhimu kwa timu zinazokataa kushuka daraja na washindi wa tatu na nne.
Head to head ndiyo mpango mzima msimu huu.
Kilishorusha roho watu wengi nchini ni kile kilichotokea tarehe 3 July mbele ya mgeni rasmi Rais Samia. Aliyefurahi siku ile ndiye mshindi wa msimu. Maana ni bahati kubwa Mama Samia kuhudhuria tukio kama lile.
Mechi zilizobakia ni muhimu kwa timu zinazokataa kushuka daraja na washindi wa tatu na nne.
Head to head ndiyo mpango mzima msimu huu.