Mmanyanigho
Senior Member
- May 18, 2018
- 186
- 326
Wakuu kwema.
Ndgu yenu hapa naomba kujuzwa gharama nafuu za kusafirisha kitanda na godoro toka Morogoro mpaka Dar.
Ni usafiri gani wa bei rahisi naweza kuutumia na gharama zake zikoje lakini pia unapatikana maeneo gani hapo Moro??
NB. Mimi ni mgeni Morogoro.
Natanguliza shukran zangu kwenu wakuu.
Ndgu yenu hapa naomba kujuzwa gharama nafuu za kusafirisha kitanda na godoro toka Morogoro mpaka Dar.
Ni usafiri gani wa bei rahisi naweza kuutumia na gharama zake zikoje lakini pia unapatikana maeneo gani hapo Moro??
NB. Mimi ni mgeni Morogoro.
Natanguliza shukran zangu kwenu wakuu.