Chain Smoker
Member
- Dec 18, 2011
- 14
- 3
Kudadadeki aka Lusinde
Mkuu hapo hamna haja ya kuuliza walioharibu LUSINDE hawezi kukosa...kudadaaaaadeeki
Kudadadeki aka Lusinde
Akitangaza matokeo ya wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki Katibu wa bunge anasema kwamba kati ya kura 305 zilizopigwa kura 16 ziliharibika sawa na asilimia 6.2. Hivi inakuwaje wabunge wanakosea kupiga kura??
Katika kura zilizoharibika, bila shaka LAMECK KAIRO "LACAIRO" nayo imeharibika.
Kudadadeki aka Lusinde