Mkuu, tangu serikali ya awamu ya 4 iingie madarakani, ujenzi wa barabara mpya umesimama kabisa.Pole kaka, na pia asilimia kubwa ya barabara za Mkapa, zilikuwazishapangwa na kutafutiwa wafadhili na Mwinyi.
So kuna issue ya kupokezana vijiti mzee, ukiona mkandarasi yuko site, ujue kazi ya ujenzi na uchoraji ilianza miaka mitatu nyuma... okay!!!
So do not expect... unasanifu mwaka huu, unatoa tenda mwaka huu, ujenzi unaanza mwaka huu na unaisha mwaka huu... tulia kidogo ufikiri kaka... kujenga barabara sio sawa na kununua ndizi sokoni tandale.
Mkuu, tangu serikali ya awamu ya 4 iingie madarakani, ujenzi wa barabara mpya umesimama kabisa.Pole kaka, na pia asilimia kubwa ya barabara za Mkapa, zilikuwazishapangwa na kutafutiwa wafadhili na Mwinyi.
So kuna issue ya kupokezana vijiti mzee, ukiona mkandarasi yuko site, ujue kazi ya ujenzi na uchoraji ilianza miaka mitatu nyuma... okay!!!
So do not expect... unasanifu mwaka huu, unatoa tenda mwaka huu, ujenzi unaanza mwaka huu na unaisha mwaka huu... tulia kidogo ufikiri kaka... kujenga barabara sio sawa na kununua ndizi sokoni tandale.
Statistics zipo kaka..hivi vyote ni vitu unaona kwa macho yako yote mfano:-All of those will be great mkuu. Just support your point with facts & figures. Tupe data mkuu kuthibitisha yote usemayo.
Duh! wewe mimi CUF you are kidding..go on guessing? sijawi na sintaipigia CCM mpaka ikulu imeingia chama kingine...lolHaki-ya-Mungu, inamaana kukubalika kwa raisi Karume huko zenji na CUF tena ime change mwelekeo bwana Tumain. Mbona umenitisha mi najua we CUF to the bone.
Leo tena wana JF wamekua hawana shukurani haki ya Mungu au mwezi mchanga tena(joke).
Nilipo highlight ndugu hiyo si Kweli..unataka kufurahisha baraza..au una personal bifu na JK..nimekuonyesha barabara zinazojengwa na zinazoendelea kujengwa hapo juu...kwa spidi ya kufa mtu...Mkuu, tangu serikali ya awamu ya 4 iingie madarakani, ujenzi wa barabara mpya umesimama kabisa.
Umezungumzia kuwa awamu ya 3 ilijenga asilimia kubwa ya barabara zilizobuniwa na kufadhiliwa na wafadhili waliotafutwa awamu ya pili. Nadhani hapo kuna upotoshaji mkubwa.
Ukweli ni kwamba, awamu ya 2 iliiacha nchi ikiwa haikopesheki licha ya kufadhilika. Awamu ya 2 ilijenga barabara chache katika kipindi chake cha kwanza. Kipindi cha pili kilikuwa kitupu kabisa. Nchi ilikuwa hoi.
Ni kweli kuwa awamu hupokezana vijiti. Ila ni hakika kuwa kama mambo yataendelea kama yanavyoendelea sasa, hakuna ambacho kitapokelewa na awamu inayokuja, zaidi ya madeni na akaunti zilizokauka.
Haki-ya-Mungu, inamaana kukubalika kwa raisi Karume huko zenji na CUF tena ime change mwelekeo bwana Tumain. Mbona umenitisha mi najua we CUF to the bone.
Leo tena wana JF wamekua hawana shukurani haki ya Mungu au mwezi mchanga tena(joke).
1.sababu ya kujenga shule kila kata ilikwisha pita kama sera ya taifa tangu wakati wa mkapa na sera halali kwa ajili ya enrollmet ya wanafunzi Tanzania..unachongelea ni hatua ya pili ya uboreshaji wa shule zote kwa kuweka vifaa, walimu na vitabu ili tuweze kutoa elimu bora..step step by by brother resorces ni scarce alwaysinasikitisha pale mafanikio ya Rais yanapokuwa kujenga ma-gofu yanayoitwa shule na wananchi wanapigia makofi ujinga huu.
hakukuwa na sababu yoyote ya kujenga shule hovyohovyo 100 kwenye wilaya moja.wangeweza kujenga shule 30 standard na kuhakikisha fedha za magofu mengine 70 zinatumika kuimarisha shule zilizokuwepo.waaalimu wakifuzu huko mavyuoni then wangeendelea.modular format ingefaa hapa sio huu usanii walioleta.
kumsifia raisi kwa kujenga barabara ya Lami ya km 1000 au kujenga daraja moja kwa muda wa miaka minne ni kutazama chini ya pua.HE IS THE PRESIDENT,to be successful he should have done more than that.
hizo sifa za kupewa waziri sio Raisi.Viongozi wetu Afrika tunawasifia kwa kutimiza majukumu yao,viwango vyetu vya kutoa sifa viko chini sana ndio maana kiongozi anaiba weeee,kisha anajenga daraja na uwanja mnamuita kiongozi bora.huyu jamaa nae atasifiwa kwa kufungulia watu mashtaka,sio kuondoa rushwa.
siwezi kumsifia kiongozi hata mmoja Tanzania hamna anyestahili.kama angekuwepo,kina mama wajawazito wasingekuwa wanajifungua kwenye sakafu,umasikini usingekuwa katika kiwango cha sasa.ambapo do called middle income families wanakula milo miwili kwa siku.
hakuna wa kumpa sifa...,wote wameharibu.ndio maana tupo tulipo!