Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
test ya gongo haina tofauti na konyagi, lushoto kuna pombe ya miwa inaitwa boha, ni nzuri kupita bia za ilala, bado kuna mnazi, mbege, ulanzi na nyinginezo nyingi ambazo hazina makato ya T.R.A yatakayoporwa na mafisadi kwa mgongo wa kuilipa dowans.
Hata pingu ya hapo Moro sio mbaya kwa kusafisha tumbo.