ndio nn hii
ndio nn hii
Nionavyo mimi kwa uchambuzi wa haraka mpango mzima wa kuvuana gamba ndani ya CCM ni siri na fasihi ambayo wengi hawaijui. Ninaona JK maana yake ya gamba ni lile wingu la kuzuia mteule wake wa kugombea urais 2015 na si kama wengi wanavyokiria sasa. Mapendekezo ya kamati yake huru iliyoongozwa na katibu mpyo bwana WM ya wastaafu (Akiwemo Sumaye na EL) kuwaondoa CC ili waunde baraza la ushauri ndipo siri kuu ilipojificha. Kama kawaida CCM watakuja na kale kautaratibu kao ka kumpata mgombea kutokea CC. Ili mazingira yasiwe magumu, upanguaji wa CC ya sasa na uteuzi mpya unaonyesha kuwepo weak figures nyingi na moja iliyoandaliwa ikichomoza, na ukizingatia jamaa wa foreign affairs ameondolewa CC. Wapiga kura wameandaliwa sasa. Sura mpya za sasa hizi hapa.
Safu Mpya
WAJUMBE WAPYA WA HALMASHAURI KUU
Peter Kisumo
Mwigulu Nchemba
Januari Makamba
Ally Juma Shamhuna
Wilson Mukama
Emmanuel Nchimbi.
WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU WALIOTEULIWA KAMATI KUU Pindi Chana
Abdulrahman Kinana
Zakhia Hamdan Meghji
Abdallah Kigoda
Steven Wassira
Costansia Buhiye
William Lukuvi
Dk. Hussein Ali Mwinyi
Dk. Maua Daftari
Samia Suluhu
Shanmsi Vuai Nahodha
Omary Yusuf Mzee
Prof. Makame Mbarawa
Mohamed Seif Khatibu
SEKERITARIATI
Nd. Wilson Mukama- Katibu Mkuu
....
Naomba kutoa hoja.
wemekusema sana.! Wamekushutumu sana walimwaga maji ukakaa kimya.umenawa ili uanze kula wamemwaga mboga.sasa nawewe mwaga ugali kama mbway mbway huu ndio muda muafaka wakusema ukweli kila kitu
kama nyinyimmewapitisha kwenye kura za maoni na bado mkawapigia kura za ubunge, JK ni nani mpaka hata awazuie?Haya ni maoni ya msomaji wa gazeti la mwananchi la leo....
"Ngosha 2011-04-13 09:46
Ni kikwete huyo huyo aliyepita kwenye majimbo akiwanadi mafisadi kuwa wanafaa, kwa mfano; alipita akimnadi Mramba kuwa anafaa pia akina masha, Rostam,Chenge, Lowasa and the like. Eti leo anakujakusema anavua gamba gamba gani hilo? huu ni unafiki na ulimbukeni na kulewa madalaka! Umnadi mtu mchafu harafu badae uje useme unajivua gamba! mimi binafsi hainiingii akilin! I think watanzania tufikie mahali tutambue kuwa tunachezewa mchezo mchafu! Harafu viongozi wazuri CCM wanapatikana kwenye ukoo tu! Akitoka mwinyi anaingia mwanae, akitoka makamba anaingia mwanae, akitoka kikwete utashangaa SHALOBALO Lizy anaingia! Tunata upright leaders! " Quote
mimi nawashauri Chadema wawachukue wakina EL, AC na RA , LAKINI kwa MASHARTI. Kwamba hawatapewa wadhifa wa juu kwenye Chama NA waje na wakati wanapokea kadi za uananchama WAKABIDHI DOCUMENTS ZOTE dhidi ya madudu ya serikali na chama tawala.
wemekusema sana.! Wamekushutumu sana walimwaga maji ukakaa kimya.umenawa ili uanze kula wamemwaga mboga.sasa nawewe mwaga ugali kama mbway mbway huu ndio muda muafaka wakusema ukweli kila kitu
mimi nawashauri Chadema wawachukue wakina EL, AC na RA , LAKINI kwa MASHARTI. Kwamba hawatapewa wadhifa wa juu kwenye Chama NA waje na wakati wanapokea kadi za uananchama WAKABIDHI DOCUMENTS ZOTE dhidi ya madudu ya serikali na chama tawala.
So what?