Haya ni maoni ya msomaji wa gazeti la mwananchi la leo....
"Ngosha 2011-04-13 09:46
Ni kikwete huyo huyo aliyepita kwenye majimbo akiwanadi mafisadi kuwa wanafaa, kwa mfano; alipita akimnadi Mramba kuwa anafaa pia akina masha, Rostam,Chenge, Lowasa and the like. Eti leo anakujakusema anavua gamba gamba gani hilo? huu ni unafiki na ulimbukeni na kulewa madalaka! Umnadi mtu mchafu harafu badae uje useme unajivua gamba! mimi binafsi hainiingii akilin! I think watanzania tufikie mahali tutambue kuwa tunachezewa mchezo mchafu! Harafu viongozi wazuri CCM wanapatikana kwenye ukoo tu! Akitoka mwinyi anaingia mwanae, akitoka makamba anaingia mwanae, akitoka kikwete utashangaa SHALOBALO Lizy anaingia! Tunata upright leaders! " Quote
wemekusema sana.! Wamekushutumu sana walimwaga maji ukakaa kimya.umenawa ili uanze kula wamemwaga mboga.sasa nawewe mwaga ugali kama mbway mbway huu ndio muda muafaka wakusema ukweli kila kitu
Haya ni maoni ya msomaji wa gazeti la mwananchi la leo....
"Ngosha 2011-04-13 09:46
Ni kikwete huyo huyo aliyepita kwenye majimbo akiwanadi mafisadi kuwa wanafaa, kwa mfano; alipita akimnadi Mramba kuwa anafaa pia akina masha, Rostam,Chenge, Lowasa and the like. Eti leo anakujakusema anavua gamba gamba gani hilo? huu ni unafiki na ulimbukeni na kulewa madalaka! Umnadi mtu mchafu harafu badae uje useme unajivua gamba! mimi binafsi hainiingii akilin! I think watanzania tufikie mahali tutambue kuwa tunachezewa mchezo mchafu! Harafu viongozi wazuri CCM wanapatikana kwenye ukoo tu! Akitoka mwinyi anaingia mwanae, akitoka makamba anaingia mwanae, akitoka kikwete utashangaa SHALOBALO Lizy anaingia! Tunata upright leaders! " Quote
acha kumchuuza mwenzio, nchi zetu hizi? Atapotea sasa hivi, au umemsahau kolimba?
Mimi sikutaka aachie ukatibu mkuu
Pumba zake zilisaidia sana kuidhoofisha ccm na serikali kwa ujumla ikawa rahisi kwa upinzani kukubalika