SON OF DAVID
Member
- Apr 1, 2011
- 42
- 3
Kuna wale wanajf wanaotoa thread kibao za kuonesha kuwa LOWASA ni Rais wa TZ 2015 mmeingia mtini? Naona swahiba wake jk kamfungia vioo Dodoma. Kapewa siku 90 kujiondoa kwenye NEC. Yeye na Rostam na Chenge nk.
Maneno yalikuwa mengi sana. Mara fedha zimekusanywa, ooh mtandao tayari, ooh zitto wa Chadema atawaunga mkono kwa kujiunga NCCR kupunguza kura za Chadema, nk. Hebu njooni na thread zenu tuwasikie tena safari hii. Au mmefyata mkia sasa?
Au mfahamukuwa watanzania sasa mmeamka?
Maneno yalikuwa mengi sana. Mara fedha zimekusanywa, ooh mtandao tayari, ooh zitto wa Chadema atawaunga mkono kwa kujiunga NCCR kupunguza kura za Chadema, nk. Hebu njooni na thread zenu tuwasikie tena safari hii. Au mmefyata mkia sasa?
Au mfahamukuwa watanzania sasa mmeamka?