Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Ukiwa member humu lazima ukomae tu BT.
Usafi muhimu sana bibie wakati wa majamboz!!!!!!!!!!!!!!
Usafi muhimu sana bibie wakati wa majamboz!!!!!!!!!!!!!!
Usafi kwenye sex ni kitu muhimu sana, ni vizuri kuoga kila wakati mmeisha fanya sex.
Yani ulivyo sema tu hivo nimeisha pata hamu ya ku :violin:ni zaidi ya muhimu na huleta hata hamu mara dufu
Jamani nisaidieni kwenye hili,kuna jamaa yangu mmoja yeye ni mswalihina sana,katika story zetu tukafikia mahali ambapo alinishauri kuwa kila mnapomaliza faragha na mpenzi/mke wako lazima muoge,sasa nikamuuliza kama mtafanya mara 3au4au5 itabidi kila faragha uoge?akasema ndivyo inavyotakiwa na yeye hufanya hivyo,hebu wadau tuchangie kwenye hili au kupeana mawazo ni utaratibu gani hapa unafaa maana mimi naona itakuwa kama ni karaha hasa ukichukulia kuwa mabafu yetu wengine yanakuwa nje ya nyumba.
Hahaha BADILI TABIA, twenzetu jukwaa la wakubwa nikakufunde. Hapa watakubemenda tu.... Kama kungonoka ni uchafu, majogoo yangeoga mara ngapi? LOLhihihhiiiiiii mie bado mtoto, mnanikomaza humu ndani loh....
Tena kuoga haswaa..ucmuachie mwenzio fungus..muhm kuoga kujfuta kwa ktambaa safi...kuondoa majasho na maharuf mabaya..msilambane uchafu..lol..
na kuoga kabla ya
tendo lenyewe je?? mana wengine unakuta ananuka jasho kikwapa kila
sehemu....
Wasiyeoga baada ya kujamiiana ndio wale wanaokumbwa na popobawa!
........kwanza hata kile cha asubuhi mnawezaje fanya bila pitisha maji.......
Kwa kiubaridi hiki cha hapa MTWIVILA....acha wewe, utaoga peke yako!
duh lolUnaoga kidogo sio unaoga mpaka Ile harufu ya nanii (kuku wa kienyeji) iishe harufu hyo nayo ina raha yake kwenye mapenzi.
huku kwetu dumu la maji buku!!raha ya lile tendo uoge/uwe msafi jaman, ukimaliza tu round ya kwanza jiswafi na maji alafu rudi tena anza upya hata kama round zitakuwa 20 ....
duh lolhuku kwetu dumu la maji buku!!
Ukiwa member humu lazima ukomae tu BT.
Usafi muhimu sana bibie wakati wa majamboz!!!!!!!!!!!!!!
Hahaha BADILI TABIA, twenzetu jukwaa la wakubwa nikakufunde. Hapa watakubemenda tu.... Kama kungonoka ni uchafu, majogoo yangeoga mara ngapi? LOL