Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
Unamaanisha wenye ndoa zenye matatizo hawakuomba wakati wa uchumba? Na mbona wengine wanaishi kwa misingi ya kidunia (ushirikina) na ndoa zao ziko katika utulivu? Unamkuta baba ni kama ***** hana muda wala wa kufatilia lolote, mwanamke aende club arudi alfajiri hakuna kuulizwa - hawana mgogoro hata kidogo. Wasemaje kuhusu hilo?
Mambo ya ushirikina yana mwisho wake yakiwageuka ndo wataiona dunia ilivyochungu, au nawewe unafurahi maisha mwanaume kukaa kama zezeta ndani ya nyumba. Hebu mtangulize mungu yote yatawezekana