Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Mambo yanayoendelea kwenye jamii yanatia kichefuchefu. Kwa wale aambao hawajaoa wala kuolewa wana mtihani mkubwa sana. Ona hii mifano. Mume anaondoka kwenda kutafuta riziki anamuacha mke wake nyumbani, nyumbani mke ndo muda wa kuvinjari na mabwana wengine . . .ni sawa hii. Nyingine . .. mke anaaga kwenda naye kutafuta riziki akifika huko ndo muda wa kuendelea na maawala zake au ikibidi kuanzizsha mahusiano mapya. Kwa wanaume ambao hawajaoa mtihani uko hivi, mwanamke anayejishughulisha kutafuta riziki akisafiri ni noma. Akiwa ni kukaa nyumbani kuhudumia miradi ya nyumbani naye ana kero zake. Mbona kuoa ni njia panda?