AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ben, hebu chukualia yanayosemwa juu yako kam ni fursa ya kujirekebisha kama yan ukweli juu yake, tumia busara, acha kiburi kwani sisi chadema tunakiburi kwa mambo ya kupigania utaifa lakini sio kwa maoni ya watu kam vile ww unavyoyakehi,