Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mara nyingi nimekuwa nikiandika juu ya hili kundi la akina Ben,Zitto,Bashe,Kitila mkumbo na vijana wengine juu ya mwenendo wao kisiasa.Hawa ni janga lijalo la taifa na kama hatutachukulia kwa umakini basi taifa litaingia matatani.Kuna siku nilileta sredi inayoongelea kama kundi hili lina mpango wa kuanzisha chama cha siasa.Kilichotokea nilishambuliwa na pia nilishaandika juu ya ben saanane alipokuwa anagombea uongozi wa vijana chadema kilichofuata ni kushambuliwa hadi kufungiwa
Sasa naona niliyosema yanaendelea kujidhihirisha.sasa hivi kauli waliyoibuka nayo ya ujana ina hatari ya kuligawa taifa katika umri na ni kauli ya kibaguzi.Sina mashaka na uwezo wa zitto kujenga hoja napia Bashe , ben saanane na wengineo.Chadema kuna vijana wengi wenye uwezo wa kujenga hoja ila inasikitisha kundi hili kuwa influenced upande wa akina Zitto.Mpasuko unakinyemelea chama hicho.Vijana wa chadema mbeya na kanda ya ziwa wameegemea upande wa zitto na huko kuna kundi hatari linajiita sauti ya vijana.Dr.Kitila akiwa uingereza anasadikiwa kueleza watanzania kule chadema kuna mpasuko nyemelezi kati ya kambi ya Mbowe na Slaa.Kitila ni mshauri wa chadema aliyetuhumiwa kuweka kanuni chakachuzi za viti maalum
Ni wakati sasa wa kuangalia kwa makini nyendo za vijana hawa ili kulinusuru taifa kwenye hoja hii ya kibaguzi.Nilishaandika hapa kuhusu ben saanane nikaonekana nina bifu nae.Sasa kuna watu ambao tulisoma nae ni wanachama wa hapa JF.Akina Sizinga walileta tuhuma hapa wakaishia kushushiwa nondo wakaonekana hawafai.Kuna akina Celluzone,Sizinga,Baraka Kange na hata Nape nnauye wanajua ukweli wa ninachoandika hapa.
Ni muda sasa wazee na usalama wa taifa kuangalia hatima ya taifa hili kufuatia kuendekeza mjadala ulioibuliwa na vijana hawa.mjadala huu hauleti mpasuko chadema tu unaleta mpasuko ndani ya CCM na taifa kwa ujumla
Sasa naona niliyosema yanaendelea kujidhihirisha.sasa hivi kauli waliyoibuka nayo ya ujana ina hatari ya kuligawa taifa katika umri na ni kauli ya kibaguzi.Sina mashaka na uwezo wa zitto kujenga hoja napia Bashe , ben saanane na wengineo.Chadema kuna vijana wengi wenye uwezo wa kujenga hoja ila inasikitisha kundi hili kuwa influenced upande wa akina Zitto.Mpasuko unakinyemelea chama hicho.Vijana wa chadema mbeya na kanda ya ziwa wameegemea upande wa zitto na huko kuna kundi hatari linajiita sauti ya vijana.Dr.Kitila akiwa uingereza anasadikiwa kueleza watanzania kule chadema kuna mpasuko nyemelezi kati ya kambi ya Mbowe na Slaa.Kitila ni mshauri wa chadema aliyetuhumiwa kuweka kanuni chakachuzi za viti maalum
Ni wakati sasa wa kuangalia kwa makini nyendo za vijana hawa ili kulinusuru taifa kwenye hoja hii ya kibaguzi.Nilishaandika hapa kuhusu ben saanane nikaonekana nina bifu nae.Sasa kuna watu ambao tulisoma nae ni wanachama wa hapa JF.Akina Sizinga walileta tuhuma hapa wakaishia kushushiwa nondo wakaonekana hawafai.Kuna akina Celluzone,Sizinga,Baraka Kange na hata Nape nnauye wanajua ukweli wa ninachoandika hapa.
Ni muda sasa wazee na usalama wa taifa kuangalia hatima ya taifa hili kufuatia kuendekeza mjadala ulioibuliwa na vijana hawa.mjadala huu hauleti mpasuko chadema tu unaleta mpasuko ndani ya CCM na taifa kwa ujumla