DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
wewe ni mjinga na una hulka za kidikteta kama hao vijana.kwani mimi kuwa ccm au chadema kwa pamoja kuna tatizo gani wewe au inakuhusu nini.najua youth patriotic movement anayotaka kusajili ben ni kwa ajili ya kuvunja nguvu UVCCM baada ya kuona bavicha imeshindwa kupambana na uvccm.ni kwa nini asisaidiane na heche kuimarisha bavicha ili ipambane na uvccm? bahati mzuri usalama wa taifa walimshtukia wakamkatalia usajili na hela amabzo alipata kutoka Rwanda patriotic front zimezuiwa standard charterd bank .
Jamani kama hizi accusation ni kweli basi Ben ana mengi ya kutwambia Watanzani.Ben I hope all eyes on you!!!Tutasikia mengi.Mwenye Profile ya primary school ya Ben atushushie uenda tukajua jambo.
Kama dogo yuko kwa anga ya Kagame huu mziki mwingine,uwa nina hisia kuna mambo yanayokwenda kichwani mwa Kagame,na tamaa ya kutawala East Africa na hasa Tanzania kupitia mlango wa chuma,bahati mbaya anajua uwezo wa Tanzania uwa ni mkubwa kumshinda mbali sana,Ila I hope uwa anajaribu kadri anavyoweza.Manake hata mambo ya Congo yameshasemwa sana kuwa wanataka kupata Nchi inaitwa KIVU.
Ben na Mwenzio mnamengi sana sana ya kutwambia Watanzania KITAELEWEKA HIYO NDIO TANZANIA YA BABU YETU MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Ukifika wakati mtataja mpaka kuku!!! taratibuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!