Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
DSN hujaona ushamba wa huyu mtu wako?? kumfungulia mtu thread ni isharaya inferiority complex hasa huyo mtu akiwa anajulikana na wewe ukiwa umejificha!!
ana bifu na Ben na anaonekana yeye kutumia povu jingi na anadharaulika wanao msupport ni wale wale wasioweza kuwa WAO ila kufuata mkumbo tu
honestly, you cant tune someone to be like what you want them to be...is impossible!!! tunaishi kwa kuchukuliana, sasa yy misimamo ya Ben haipendi na vanataka kulazimisha watu wakubaliane naye consequently anampa ujiko Ben bila yeye kujijua..katika ujiko huo nataka na mimi niwemo! ha ha haaa
come out lets know you!! coward!! who is a real man here??
ana bifu na Ben na anaonekana yeye kutumia povu jingi na anadharaulika wanao msupport ni wale wale wasioweza kuwa WAO ila kufuata mkumbo tu
honestly, you cant tune someone to be like what you want them to be...is impossible!!! tunaishi kwa kuchukuliana, sasa yy misimamo ya Ben haipendi na vanataka kulazimisha watu wakubaliane naye consequently anampa ujiko Ben bila yeye kujijua..katika ujiko huo nataka na mimi niwemo! ha ha haaa
come out lets know you!! coward!! who is a real man here??