Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Mbona mimi natafuta mkaka asie na degree na mimi nnayo? Msituharibie sifa bana.
huwezi mpata kirahisi. Wanaume tuna tabia fulani ya kuangalia mwanamke unayeweza kumcontrol kwenye vitu vingi. Sasa nyie dada zetu mliosoma mna kasumba ya kutobabaishwa na mwanaume yeyote kwa sabab unaweza kuzaa na mtu na ukaishi na wanao. Mwisho utaishi kunishikisha mwiko jikoni kisa elimu yangu ndogo. Kuna jama alioa dada mmoja wa chuo na ye mwalimu wa primary alikuwa anaendeshwa mpaka akakimbia ndoa. Mi upande wangu nilishaweka kigezo mke ntakayeoa ni lazima awe na at least diploma. Hivyo relationship yoyote na mtu chini ya hapo huwa naikwepa kabisa. Hata ukiwa na mvuto na tabia nzuri kiasi gani,ntakupotezea tu! Hata waliosoma wapo wenye feature hizo.