chama konokono
Member
- Apr 27, 2023
- 90
- 178
Huyu mwamba ukimuangalia kuanzia umbo lake, jinsi anavyowapa shida mabeki wa timu pinzani, jinsi anavyofunga magoli, na jinsi anavyoshangilia magoli aliyofunga unapata picha halisi ya Mwamba wa Ivory Coast Didie Drogba.
Tofauti yao ni kuwa Drogba alipata bahati ya kucheza Ulaya wakati Mayele yupo bongo land bado anatafuta njia ya kwenda Ulaya..
Tofauti yao ni kuwa Drogba alipata bahati ya kucheza Ulaya wakati Mayele yupo bongo land bado anatafuta njia ya kwenda Ulaya..