Mabeki wa NBC Premier League nitafuteni upesi niwape 'Twisheni' ya Kumalizana 'Kisela' na Fiston Mayele tupumzike na Kero Mitaani

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Ingekuwa ni enzi zangu nacheza mpira (naupiga mwingi) nina uhakika huyu Mshambuliaji Mbovu wa Yanga SC Fiston Mayele sasa hivi angekuwa Muhimbili Hospitali anauguza Jeraha la Miaka 6 ijayo kwa Rafu ambayo ningemchezea.

Mabeki wa NBC Premier League (Siku hizi) ni Wapuuzi sana na ndiyo maana anawafanya atakavyo, anafunga na anawadharau vile vile katika Interviews zake.

Namkumbuka mno Mwalimu wangu wa Kucheza Rafu Kali na zilizoenda Shule kwa Wachezaji (hasa Washambuliaji viherehere kama Mayele) Marehemu Said Mwamba Kizota a.k.a Baba Tosha kwani alikuwa akimalizana nao vizuri sana na Wachezaji wengi walimuogopa isipokuwa kwa Mmoja tu mbabe Mwenzake Mtoto wa Temeke na Morogoro Beki Fikiri Magoso a.k.a Tusker Lager.

Natamani nirejee Ujanani ili nitafute Namba katika hivi Vilabu vya Ligi Kuu ya NBC ili nimnyooshe ipasavyo Mshambuliaji ambaye hanikeri kwa anavyofunga Magoli yake ila ananikera zaidi na Ushangiliaji wake ambao bahati mbaya hata wana Familia wangu wanaupenda na wanauiga kila mara pindi wakiniona tu.
 
Dua la kuku, point 8 juu ya msimamo, magoli ya kufunga 25,magoli ya kufungwa 4, linganisha na tik tok team magoli yao ya jumla 16 ni sawa na magoli ya wachezaji 3 wa yanga mayele,ntibanzokiza na fei toto, angalieni mlipojikwaa achana na mawazo ya kichawi uyo mayele ataendelea kutetema kutokana na uwezo wake ivyo ata nyie mjiandae kutunguliwa na mayele
 
Ingekuwa ni enzi zangu nacheza mpira (naupiga mwingi) nina uhakika huyu Mshambuliaji Mbovu wa Yanga SC Fiston Mayele sasa hivi angekuwa Muhimbili Hospitali anauguza Jeraha la Miaka 6 ijayo kwa Rafu ambayo ningemchezea.

Mabeki wa NBC Premier League (Siku hizi) ni Wapuuzi sana na ndiyo maana anawafanya atakavyo, anafunga na anawadharau vile vile katika Interviews zake.

Namkumbuka mno Mwalimu wangu wa Kucheza Rafu Kali na zilizoenda Shule kwa Wachezaji (hasa Washambuliaji viherehere kama Mayele) Marehemu Said Mwamba Kizota a.k.a Baba Tosha kwani alikuwa akimalizana nao vizuri sana na Wachezaji wengi walimuogopa isipokuwa kwa Mmoja tu mbabe Mwenzake Mtoto wa Temeke na Morogoro Beki Fikiri Magoso a.k.a Tusker Lager.

Natamani nirejee Ujanani ili nitafute Namba katika hivi Vilabu vya Ligi Kuu ya NBC ili nimnyooshe ipasavyo Mshambuliaji ambaye hanikeri kwa anavyofunga Magoli yake ila ananikera zaidi na Ushangiliaji wake ambao bahati mbaya hata wana Familia wangu wanaupenda na wanauiga kila mara pindi wakiniona tu.

Mwenzako jana kazawadiwa ng'ombe! Ila wewe tutakuzawadia upupu kutoka Songea au Morogoro, ili ujikune mpaka akili yako ikukae sawa.
 
Ingekuwa ni enzi zangu nacheza mpira (naupiga mwingi) nina uhakika huyu Mshambuliaji Mbovu wa Yanga SC Fiston Mayele sasa hivi angekuwa Muhimbili Hospitali anauguza Jeraha la Miaka 6 ijayo kwa Rafu ambayo ningemchezea.

Mabeki wa NBC Premier League (Siku hizi) ni Wapuuzi sana na ndiyo maana anawafanya atakavyo, anafunga na anawadharau vile vile katika Interviews zake.

Namkumbuka mno Mwalimu wangu wa Kucheza Rafu Kali na zilizoenda Shule kwa Wachezaji (hasa Washambuliaji viherehere kama Mayele) Marehemu Said Mwamba Kizota a.k.a Baba Tosha kwani alikuwa akimalizana nao vizuri sana na Wachezaji wengi walimuogopa isipokuwa kwa Mmoja tu mbabe Mwenzake Mtoto wa Temeke na Morogoro Beki Fikiri Magoso a.k.a Tusker Lager.

Natamani nirejee Ujanani ili nitafute Namba katika hivi Vilabu vya Ligi Kuu ya NBC ili nimnyooshe ipasavyo Mshambuliaji ambaye hanikeri kwa anavyofunga Magoli yake ila ananikera zaidi na Ushangiliaji wake ambao bahati mbaya hata wana Familia wangu wanaupenda na wanauiga kila mara pindi wakiniona tu.
Kwahiyo kumbe ukijifungia ndani peke yako unafanya rehearsal ya kushangilia kama Mayele?😄😄
 
Back
Top Bottom