Kuna tatizo gani uchaguzi usifanyike Jumapili?

Anger, Frustration zisababishwazo na hali ngumu ya maisha hupelekea Binadamu kutafuta utulivu wa akili na moyo aidha kwa kinywaji ama Ibada... Vyote vinagharama kubwa na madhara permanent ... No wonder Manabii wanaongezeka, wengine wanazidi kuwa matajiri hadi kununua Chopper ya kuendeshea Ibada! Viwanja vinaongezeka matumaini ya maisha yanazidi kupungua ... hakuna mwenye kuwaza future yake tena ... CCM ni Janga, Wajanja wachache wanachuma kwenye majanga ya CCM ...
 
Kakobe anajua kuteka nyoyo za wafuasi wake
tusiendekeze upumbavu huu sababu ni nini? kama yeye anakusanya sadaka si afungue asubuhi kanisa saa moja au aanze ibada saa tisa. mimi siafiki, na waisilamu nao waseme tusifanye uchanguzi ijumaa, hii ni vurugu, tusiendekeze pumba hizi
 
Mimi ni mkristo lakini sioni kero yeyote kwa uchaguzi kufanyika jumapili. Watu wanapiga kura kisha wanaenda ibadani. Wengine wanaenda ibadani kisha wanaenda kupiga kura.
kuna shida gani hapo?
 
yote tisa ..kumi hili nalo neno..inabidi hili swala liangaliwe..kuna watu wengi sana wanashindwa kupiga kura sababu ya usumbufu wanaoupata wakienda kupiga kura mara baada ya kutoka kwenye ibada kumbuka kuna makanisa wanaingia asubuhi na kutoka mchana kabisa na wanaobahatika kwenda vituo vya kupigia kura (maana najua wapo ambao wakishatoka huko kama kanisa liko mbali ndo basi tena) mara wanaambiwa karatasi zimekwisha mara uambiwe umeshapiga kura na mambo mengine chungu mzima..ni bora ikatengwa siku moja ya wiki ikawa off na maalum kwa ajili ya uchaguzi tu ambayo haitaingiliana na imani za watu wowote au kuingiliana na kitu kingine chochote..siku yenyewe inakuwa mara moja kila baada ya miaka mitano ni bora kuliko mrundikano wa sikukuu zisizokuwa na maana na watu hawaendi kazini..
 
Akishamaliza kupiga deal ya tisheti anachukua zake pipa mpaka Marekani.
wajinga ndio waliwao...

pix.jpg
 
Back
Top Bottom